Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Gimbi Massaba na Ester Matiko ni Wana CCM kindakindaki hao.CHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
WaHakuna aliyekataa uchaguzi kufuatiliwa kwa karibu au mbali au matokeo kuwekwa hadharani. Kikubwa ni uchaguzi ufanyike kwa halali na atakayeshinda atangazwe na aliyeshindwa akubali kushindwa.
Ninachokataa ni hawa viberenge vya Lissu ambao kazi yao ni kuleta mada za kutaka Mbowe ajiondoe kwenye uchagazi eti kwa hoja dhaifu (Mpishe Lissu kwani umekaa madarakani muda mrefu) kwa nini Hawesemi Mbowe ampishe Odero kwani na yeye ni mgombea wa nafasi ya uenyekiti pia.
Na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kuizika CHadema.Na hapa kuja cha kujifunza kuhusu haya mambo ya siasaCHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
YAANI FEDHA KITU KIBAYA SANA , NDIYO MAANA UNAKUTA MTU ANAMKATAA HATA MZAZI WAKE!!!! TUKIFANYA MCHEZO CCM WATAKUWA WANACHUKUA HATA WAKE ZETU!!!!!!!!! LABDA WAPINZANI NAO WAKAE WAONE JINSI GANI YA KUSAMBARATISHA CCM KAMA WALIVYO JARIBU 2015. DAWA YA MOTO NI MOTO.CHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
Ila bila kujali Lisu au nani anahusika isues za hela chafu ndani ya cdm zimesikika mda mrefu.Yaani kwa sasa hali ilivyo tunaona vyama vya upinzani vipo kwa maslahi binafsi zaidi.Mzee Bakresa akishaanzisha chama nitamuunga mkono,maana najua labda siyo kwa ajili ya tumbo.Njaa ni mbaya sana.Hapo ndipo teamLISSU mnapofeli mnatoa shutuma bila ushahidi mwisho mnasema aliyewaambia ni hiyo habari ni marehemu mu. Kama Lissu na timu yake angekuwa na ushahidi wa yale anayokituhumu Chadema, wala asingetumia nguvu kubwa na kutafuta huruma ya wananchi kama ilivyo sasa. Bahati mbaya hana ushahidi na ameshindwa kujizuia kama ilivyo kwa wafuasi wake ni kuokoteza habari ambazo wala haziwezi msaidia mgombea wao.
Hela inanguvu ingekuwa hivyo watoa pesa wasingeshinda ,kama mjumbe umepewa 1 m msimamizi wa uchaguzi kapewa ngapi ?hakuna hela ya mwanasiasa inakwenda bureWajumbe Wajumbe KULENI mapesa, kuleni mshibe, Akili vichwani mwenu, kuleni na kura mpeni LISSU, pokeeni kuleni mshibe, Wajumbe sio watu wazuri
Una uhakika kuwa ni authentic information? Au unakimbilia kuhukumu?Sasa kama CHADEMA wanafanya Yale Yale ya CCM Kuna haja yoyote ya kutaka kuitoa CCM madarakani kama mambo ndio haya?
Hawa CHADEMA ni wabaya zaidi hata ya CCM kwenye suala la madaraka,
Nasema Kidumu sana chama Cha Mapinduzi
Siyo Magufuli tena? Chama kibovu kinaongozwa na mfumo mbovu iliwekwa na watu wabovu na lawama wanapewa watu wengine!CHADEMA inafanyiwa mambo ya hovyo sana na ccm
Ila CHADEMA mnajua kusema aiseee🤣🤣🤣Usiseme Mbowe, sema Ayatollah a.k.a SULTAN au ukipenda mwite MSEVEN wa MACHAME.
Kidumu sana kabisa mwanawane iiih . .Sasa kama CHADEMA wanafanya Yale Yale ya CCM Kuna haja yoyote ya kutaka kuitoa CCM madarakani kama mambo ndio haya?
Hawa CHADEMA ni wabaya zaidi hata ya CCM kwenye suala la madaraka,
Nasema Kidumu sana chama Cha Mapinduzi
Mzee wa magomeni nini kimekushangaza hapo?Ohoooo
Tena ilikuwa asali NZITO ya kiwango Cha G8 Kabisa.Hakutegemea nini Mbowe has been Mbowe . Ni mlamba asali maarufu sema alikuwa na mzee slaa akawa anaji camoufrage . Kumbuka ujio wa Lowassa ilikuwa asali . Sasa mbowe yupi unangelea kwa miaka yote anajilipa tu
Ziko pale pale mkuu ukivimbiwa choo kipo karibu sana😆😅😅😅Mzee wa magomeni nini kimekushangaza hapo?
Bado unapikaga burger za mlenda.
Kuna lengo jingine la msingi la chama Cha siasa tofauti na madaraka? Au vyama vya siasa ni Kwa ajili ya charity?Sasa kama CHADEMA wanafanya Yale Yale ya CCM Kuna haja yoyote ya kutaka kuitoa CCM madarakani kama mambo ndio haya?
Hawa CHADEMA ni wabaya zaidi hata ya CCM kwenye suala la madaraka,
Nasema Kidumu sana chama Cha Mapinduzi
Mbowe bila rushwa hawezi kutoboa. Mbowe anajua, Abdul anajua, Wenje anajua, Boni yai anajua, Sugu anajua, Devotha Minja anajua na Kila aliye Kambi ya Mbowe anajua. Acha kujitoa ajili.Huku ni kuchafuana baada ya genge la mpayukaji kugundua kura zinapatikana kwa wajumbe si club house.