Shinyanga:mme amtoboa macho yote mkewe

Shinyanga:mme amtoboa macho yote mkewe

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .

Mume baada ya tukio hilo amepotea kusikojulikana na jeshi la police linamsaka

Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,

Kama huna akili usioe

UTV

USSR
 
Hili nalo likatizamwee,mm Sioni vizuri nimevaa mawani ya gizaa🤪
FB_IMG_1724330690583.jpg
 
Mtu ulikimbia ndoa anakuona Malaya kumbe humo ndani umevumilia mengi.Aisee,wakichoka kuniita mdomoni waweke na matangazo kwenye nguzo za umeme.Ndoa nyingi watu wananyanyasika Ila wanakufa nazo
Kupishana kauli
Majibu ya shyt wengine
Wanashindwa kuvumilia

Ova
 
Mwache aende ...yupo aliyemzaa na ameweza mvumilia mpaka ukamkuta mzima.Siyo mbuzi hiyo kwamba umenunua sasa una Uhuru wa kuichinja
Kitu kimoka ambacho kitakushangaza mpaka wamefikia hatua hiyo sio kwamba wameanza leo.

Na hata wewe Toyeye ungejifanya mshauri wake( mwathirika) angekushangaza kwa majibu ambayo angekupa.

1. Usituingilie
2. Mapenzi ni ya wawili, hayakuhusu
3. Wivu tu
4. Hata sinia kwenye kabati zinagongana

Huku Red Flags kibao zinamulika.

Mapenzi ya Watu usiyaingilie kama wao wenyewe hawana akili.
 
Back
Top Bottom