Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kuna wanaume wameoa bure kabisa ila ni uncivilised baboons piaMahari ni biashara ya Wazazi kuuza mabinti zào.
Maelezo nje ya Hapo ni porojo zisizo na mantiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wanaume wameoa bure kabisa ila ni uncivilised baboons piaMahari ni biashara ya Wazazi kuuza mabinti zào.
Maelezo nje ya Hapo ni porojo zisizo na mantiki
Afya ya akiliWatanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .
Mume baada ya tukio hilo amepotea kusikojulikana na jeshi la police linamsaka
Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,
Kama huna akili usioe
UTV
USSR
Nilikuwa nawashanga wazee wa zamani akitoka kazini anapitia Bar au kijiwe cha kahawa badala ya kurudi nyumbani direct,nilikuwa siwaelewi,ila kwakuwa nimekua sasa nawaelewa...Huo ni ukatili wa hali ya juu sana. Ila wanawake usipotumia akili unaweza kujikuta umemuua.
Arudishiwe hiyo mahari Kama mwanamke ni mnyamaWatu wametoa mahari mamilioni ya Pesa unasema hawajanunua Wanawake?
Mahari ni biashara ya kununua Mwanamke.
Kîla Siku nawaambia Watu waache mamila potofu ikiwemo Kutoa mahari.
Mtu Kutumia kitu chake atakavyo inakuwaje shida Kwa Watu Wengine?Arudishiwe hiyo mahari Kama mwanamke ni mnyama
SawaMtu Kutumia kitu chake atakavyo inakuwaje shida Kwa Watu Wengine?
Huyo mwanamke asingekuwa mnyama asingenunuliwa