Shinyanga:mme amtoboa macho yote mkewe

Shinyanga:mme amtoboa macho yote mkewe

Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .

Mume baada ya tukio hilo amepotea kusikojulikana na jeshi la police linamsaka

Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,

Kama huna akili usioe

UTV

USSR
Umeiona sentensi ya mwisho kwenye uzi?
 
Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .

Mume baada ya tukio hilo amepotea kusikojulikana na jeshi la police linamsaka

Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,

Kama huna akili usioe

UTV

USSR
Nimeona hiyo habari nikiwa hapa karatu.
Huku nyagi ikiwa kichwani had hadi pombe yote imeisha
 
Mkuu kama ulichagua Tako kazana tu kwani limeisha?
Bro nilichagua weupe si unajua sisi wa kanda ya ziwa aloo unafikili huo weupe wenyewe nauona basi humu kwenye ndoa? Huo weupe ndo unaonifarakanisha sasa
 
Kama umeandika utani,ni sahihi.Kununua mtu?Biashara ya kununua wanawake ?Duh!

Hakuna utani Hapo.

Zamani Wanawake waliuzwa Kwa ûkoo Mwingine Kwa kile kiitwacho mahari.

Yàani ukitoa Pesa au Mali àmbayo imepewa jina mahari unapewa Mwanamke alafu huyo Mwanamke anakuwa wako na anakuwa ûkoo wenu na unammiliki.
 
Mahari ni biashara ya Wazazi kuuza mabinti zào.
Maelezo nje ya Hapo ni porojo zisizo na mantiki
Hakuna utani Hapo.

Zamani Wanawake waliuzwa Kwa ûkoo Mwingine Kwa kile kiitwacho mahari.

Yàani ukitoa Pesa au Mali àmbayo imepewa jina mahari unapewa Mwanamke alafu huyo Mwanamke anakuwa wako na anakuwa ûkoo wenu na unammiliki.
Basi,safari ni ndefu hadi tufike pagak.
 
Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .

Mume baada ya tukio hilo amepotea kusikojulikana na jeshi la police linamsaka

Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,

Kama huna akili usioe

UTV

USSR

Ukiwa sio mtulivu unaweza fanya haya mambo, hawa wanawake ni changamoto sana, kwa niliyopitia, naelewa, ukiwa huna utulivu waweza fanya hayo!
 
Back
Top Bottom