Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umeiona sentensi ya mwisho kwenye uzi?Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .
Mume baada ya tukio hilo amepotea kusikojulikana na jeshi la police linamsaka
Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,
Kama huna akili usioe
UTV
USSR