Sema kataa ndoaNimeshindwa ku comment!
Kupishana kauliMtu ulikimbia ndoa anakuona Malaya kumbe humo ndani umevumilia mengi.Aisee,wakichoka kuniita mdomoni waweke na matangazo kwenye nguzo za umeme.Ndoa nyingi watu wananyanyasika Ila wanakufa nazo
Kama ulichagua hela badala ya Mwanaume lazima ile kwako.Mtu ulikimbia ndoa anakuona Malaya kumbe humo ndani umevumilia mengi.Aisee,wakichoka kuniita mdomoni waweke na matangazo kwenye nguzo za umeme.Ndoa nyingi watu wananyanyasika Ila wanakufa nazo
Mkuu kama ulichagua Tako kazana tu kwani limeisha?Nikiachana na hii ndoa nikioa TENA NIITENI MBWA
Mwache aende ...yupo aliyemzaa na ameweza mvumilia mpaka ukamkuta mzima.Siyo mbuzi hiyo kwamba umenunua sasa una Uhuru wa kuichinjaKupishana kauli
Majibu ya shyt wengine
Wanashindwa kuvumilia
Ova
Hatari sanaMtu ukikimbia ndoa anakuona Malaya kumbe humo ndani umevumilia mengi.Aisee,wakichoka kuniita mdomoni waweke na matangazo kwenye nguzo za umeme.Ndoa nyingi watu wananyanyasika Ila wanakufa nazo
Mara Mia usioe,ndoa inahitaji kujitoa mhanga....uwapuuze ndugu zako wote ufe kwa ajili ya mtu mmoja asiyeitambua thamani yakoHatari sana
Ni kweli,inategemea sasa na mtu mwenyewe na uvumilivu wakeMwache aende ...yupo aliyemzaa na ameweza mvumilia mpaka ukamkuta mzima.Siyo mbuzi hiyo kwamba umenunua sasa una Uhuru wa kuichinja
Kitu kimoka ambacho kitakushangaza mpaka wamefikia hatua hiyo sio kwamba wameanza leo.Mwache aende ...yupo aliyemzaa na ameweza mvumilia mpaka ukamkuta mzima.Siyo mbuzi hiyo kwamba umenunua sasa una Uhuru wa kuichinja
Inaumiza sanaNi kweli,inategemea sasa na mtu mwenyewe na uvumilivu wake
Ova
Ni zaidi ya ukatili kwakweli!Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .
Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,
UTV
USSR
Hapo ndio mimi nilipo amua kuacha kila kitu nikaanza moja.Mara Mia usioe,ndoa inahitaji kujitoa mhanga....uwapuuze ndugu zako wote ufe kwa ajili ya mtu mmoja asiyeitambua thamani yako