Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Huyo mumewe bado hajafikishwa mahakamani?Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .
Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,
UTV
USSR
Mi pia,na Sina Imani na ndoa Tena.Hakuna kitu napenda Kama kicheko changuπ€£π€£π€£π€£ Amani ya moyo wangu ndo kilakitu.Hapo ndio mimi nipo amua kuacha kila kitu nikaanza moja.
Kumbe ulikua mume wa mtuπHapo ndio mimi nilipo amua kuacha kila kitu nikaanza moja.
Hapo ndio mimi nilipo amua kuacha kila kitu nikaanza moja.
Wote mioyo yenu imevunjika, mkiungana mtakua na ndoa boraβΊοΈMi pia,na Sina Imani na ndoa Tena.Hakuna kitu napenda Kama kicheko changuπ€£π€£π€£π€£ Amani ya moyo wangu ndo kilakitu.
Si kitu kibaya cute,ni maisha tu.Mwache apumue sasaπ€£π€£π€£Kumbe ulikua mume wa mtuπ
Amesema Hana hela...eti tutashindia ndizi.....hapana kwa kweliπ€£π€£π€£Wote mioyo yenu imevunjika, mkiungana mtakua na ndoa boraβΊοΈ
ππAmesema Hana hela...eti tutashindia ndizi.....hapana kwa kweliπ€£π€£π€£
πππππMtu ukikimbia ndoa unaonekana Malaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kinakulambaaa eeeh?Nikiachana na hii ndoa nikioa TENA NIITENI MBWA
Na kwenye ndoa zenu kuna watoto wetuKama ulichagua hela badala ya Mwanaume lazima ile kwako.
Ndoa ni Tulizo la Mwili na Roho
I need youπ₯ΆMtu ukikimbia ndoa unaonekana Malaya kumbe humo ndani umevumilia mengi.Aisee,wakichoka kuniita mdomoni waweke na matangazo kwenye nguzo za umeme.Ndoa nyingi watu wananyanyasika Ila wanakufa nazo
Tatizo jingine ni hzi Dini zetu kusema hakuna kuachana mpaka mmoja afe nalo ni tatizoWatanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .
Mume baada ya tukio hilo amepotea kusikojulikana na jeshi la police linamsaka
Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,
Kama huna akili usioe
UTV
USSR
Ndoa tam sana mkuu, usikatishwe tamaa na changamoto ndogo hizoHapo ndio mimi nilipo amua kuacha kila kitu nikaanza moja.
Ngoja nile maisha kwanza kaka mkubwaNdoa tam sana mkuu, usikatishwe tamaa na changamoto ndogo hizo