Shinyanga: Mwanaume ajinyonga nyumbani kwa aliyemnyima tendo

Shinyanga: Mwanaume ajinyonga nyumbani kwa aliyemnyima tendo

Swahili AI

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2016
Posts
10,174
Reaction score
89,364
Daaaaah! Usiku wa juzi kuamkia jana kumetokea tukio nikiwa uku Serengeti aisee jamani usiombe yakukute, kuna dada mume wake yupo Shinyanga ameenda kutafuta maisha mke kamuacha Serengeti kijiji cha mbalibali ambapo ndio nilikuwepo, sasa uku kijijini uyu dada ana mahusiano ya kimapenzi na jamaa mwingine na uyo jamaa nae ana mke.

Sasa hiyo siku ya tukio uyu jamaa kaenda kwa uyu dada akapate sex, yule dada akamjibu hajisikii kufanya mapenzi jamaa akang'ng'ania yule dada akakataa jamaa akalazimisha ikabidi yule dada ahame chumba akaenda kulala chumba cha watoto, akamuacha yule jamaa chumbani kwake yule mkurya kuona amenyimwa sex akaamua kujinyonga mule mule chumbani kwa yule dada.

Yule dada anaamka alfajiri akamuamshe yule jamaa ili awahi nyumbani kwake anamkuta ananing'inia kwenye kenchi ameshakufa. Aisee yule dada kaletwa na polisi apa hospital walikuja kuchukua iyo maiti ndio anavyolia acha wamemchukua akaisaidie polisi uchunguzi.
 
..
JamiiForums-426061787.jpg
 
Kwa hiyo tusimlaumu KATIBU WA MASANJA et eehh!???[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo hospital halafu unachanganya herufi kubwa na ndogo
 
Kusoma herufi kubwa ni kazi ngumu sana.
Wewe kumbe na wewe km umesoma basi shule haijakusaidia kitu.

Ngoja nikurudishe darasani darasa la sita A mwalimu wa somo la Kiswahili akiingia darasani anaandika kwa HERUFI KUBWA ubaoni neno KISWAHILI akiashiria kwa msisitizo kwamba sasa wanafunzi tupo kwenye somo la KISWAHILI

Herufi kubwa maana yake MSISITIZO, km jamaa hujamuelewa kwanini ameandika kwa herufi kubwa maana yake ameandika kwa KUSISITIZA watu wajifunze kwa jambo lilitokea

Hususani jambo hili hapa chini

KATAA NDOA KWA HERUFI KUBWA
NDOA NI UTAPELI
KATAA CHETI CHA NDOA
UKIFUNGA NDOA UTAGONGEWA TU
SHERIA YA NDOA NI MBOVU
 
Back
Top Bottom