Shinyanga: Mwanaume ajinyonga nyumbani kwa aliyemnyima tendo

Shinyanga: Mwanaume ajinyonga nyumbani kwa aliyemnyima tendo

Herufi kubwa doesn't matter bana, au na nyie kusoma kunawakoroga.

Mbaya kujinyongea kwa mwenzio, sasa huyo dada aje kutoka huko ndani haki ni miaka mingi atasota

Majanga mengine hujui hata yanatokea wapi.
 
Wewe kumbe na wewe km umesoma basi shule haijakusaidia kitu.

Ngoja nikurudishe darasani darasa la sita A mwalimu wa somo la Kiswahili akiingia darasani anaandika kwa HERUFI KUBWA ubaoni neno KISWAHILI akiashiria kwa msisitizo kwamba sasa wanafunzi tupo kwenye somo la KISWAHILI

Herufi kubwa maana yake MSISITIZO, km jamaa hujamuelewa kwanini ameandika kwa herufi kubwa maana yake ameandika kwa KUSISITIZA watu wajifunze kwa jambo lilitokea

Hususani jambo hili hapa chini

KATAA NDOA KWA HERUFI KUBWA
NDOA NI UTAPELI
KATAA CHETI CHA NDOA
UKIFUNGA NDOA UTAGONGEWA TU
SHERIA YA NDOA NI MBOVU
Wewe unafikiri kwanini mods huwa wanabadili kuwa herufi ndogo kuanzia kichwa cha habari hadi ujumbe wenyewe.

Kifupi wewe ndio shule haijakusaidia.
 
Wewe unafikiri kwanini mods huwa wanabadili kuwa herufi ndogo kuanzia kichwa cha habari hadi ujumbe wenyewe.

Kifupi wewe ndio shule haijakusaidia.
Basi isiwe kesi baki na kile unachokielewa,
 
Wakurya wanajinyonga kweli maisha yamebadilika sawa na masai kugombea maharage na chapati mpaka wengine wanabeti
 
Kwa hali hyo Acha tunaokataa ndoa tuitwe mashoga tu
 
Hii habar Ina mashaka, yaani mwanamke amnyime unyumba hawata yake tena chumbn kwa mumewe amuache hapo eti alale mpaka asubhi huku yy akienda kulala chumba Cha watoto? Ujasiri huo mwanamke anautoa wapi?

Doesn't make sense!!!
 
Back
Top Bottom