Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachambuzi sasaHeading na content vinawiana kweli!? Au mimi ndiyo sijaelewaView attachment 2527152
Basi isiwe kesi baki na kile unachokielewa,
Jianzishie madhabahu yako hapa naona huko kitaa tunaliwa tu😅😅😅 Kila mtu anahudumu na Kula vya madhabahuni tofauti ni aina ya madhabahu tunazohudumia na vile tunavyolishwa
Jianzishie madhabahu yako hapa naona huko kitaa tunaliwa tu
Daaaaah! Usiku wa juzi kuamkia jana kumetokea tukio nikiwa uku Serengeti aisee jamani usiombe yakukute, kuna dada mume wake yupo Shinyanga ameenda kutafuta maisha mke kamuacha Serengeti kijiji cha mbalibali ambapo ndio nilikuwepo, sasa uku kijijini uyu dada ana mahusiano ya kimapenzi na jamaa mwingine na uyo jamaa nae ana mke.
Sasa hiyo siku ya tukio uyu jamaa kaenda kwa uyu dada akapate sex, yule dada akamjibu hajisikii kufanya mapenzi jamaa akang'ng'ania yule dada akakataa jamaa akalazimisha ikabidi yule dada ahame chumba akaenda kulala chumba cha watoto, akamuacha yule jamaa chumbani kwake yule mkurya kuona amenyimwa sex akaamua kujinyonga mule mule chumbani kwa yule dada.
Yule dada anaamka alfajiri akamuamshe yule jamaa ili awahi nyumbani kwake anamkuta ananing'inia kwenye kenchi ameshakufa. Aisee yule dada kaletwa na polisi apa hospital walikuja kuchukua iyo maiti ndio anavyolia acha wamemchukua akaisaidie polisi uchunguzi.
Sandali AliMadhabahu nyingi zipo na ni za Mungu na za mungu
Kila madhabahu ina taratibu zake wewe umeliwa wapi!? Kwa Mungu au kwa mungu🤗
Wewe unaitaka ipi
Ndio maana anapigia debe madhabahu kwa kisa cha shekeli ya mtumishi wa Sauli iliyopelekwa kwa mwonaji.
mama D
Nimetazama sana pic zako kwenye avatar kumbe ni mbususuHerufu kubwa
Tupe kadirio la umri wao tafadhalisiku ya tukio uyu jamaa kaenda kwa uyu dada akapate sex, yule dada akamjibu hajisikii kufanya mapenzi jamaa akang'ng'ania yule dada akakataa jamaa akalazimisha ikabidi yule dada ahame chumba akaenda kulala chumba cha watoto, akamuacha yule jamaa chumbani kwake yule mkurya kuona amenyimwa sex akaamua kujinyonga