Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Yaani hapa asiye na akili ni mwanaume. Mwanamke yeye wallaaaa..!!!MITHALI 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."
Huyo Jamaa nadhani uwezo wake wa kufikiri ulishakoma,alikuwa anaishi kama maiti tu,ilikuwa ni suala la muda tu
Wewe unafikiri kwanini mods huwa wanabadili kuwa herufi ndogo kuanzia kichwa cha habari hadi ujumbe wenyewe.Wewe kumbe na wewe km umesoma basi shule haijakusaidia kitu.
Ngoja nikurudishe darasani darasa la sita A mwalimu wa somo la Kiswahili akiingia darasani anaandika kwa HERUFI KUBWA ubaoni neno KISWAHILI akiashiria kwa msisitizo kwamba sasa wanafunzi tupo kwenye somo la KISWAHILI
Herufi kubwa maana yake MSISITIZO, km jamaa hujamuelewa kwanini ameandika kwa herufi kubwa maana yake ameandika kwa KUSISITIZA watu wajifunze kwa jambo lilitokea
Hususani jambo hili hapa chini
KATAA NDOA KWA HERUFI KUBWA
NDOA NI UTAPELI
KATAA CHETI CHA NDOA
UKIFUNGA NDOA UTAGONGEWA TU
SHERIA YA NDOA NI MBOVU
kanunue mawaniKusoma herufi kubwa ni kazi ngumu sana.
Mzabzab anawezaMimi huyo nijinyonge kisa mbunye🤣
kufa sio ujinga hakuna anae jua kifo kitamkuta mazingila gani
Basi isiwe kesi baki na kile unachokielewa,Wewe unafikiri kwanini mods huwa wanabadili kuwa herufi ndogo kuanzia kichwa cha habari hadi ujumbe wenyewe.
Kifupi wewe ndio shule haijakusaidia.
MITHALI 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."
Uzini usizini utaangamia tu.
NakaziaMITHALI 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."