#COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO) laitaka Tanzania kujiandaa kupokea chanjo ya Corona

#COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO) laitaka Tanzania kujiandaa kupokea chanjo ya Corona

Kuhusu Chanjo, ni kweli Tanzania sio kisiwa hivyo kwa niaba ya wananchi, serikali Ina wajibu wa kukubaliana na suala la Chanjo kwa raia wake.
Lakini suala la kutangaza taarifa sidhani Kama linaathiri mapambano dhida ya janga Hilo.
Ni maoni yako. Lakini ukweli nikuwa chanjo sio lazima. Na iwapo nilazima kuna walakini. Hatuihitaji.
 
Ukute hizo chanjo zinaua nguvu za kiume na kutia use*ge.

Wangapi mpo tayari kuchanjwa?
Daa!!yaani haya majina mengine huwa hamuyatendei haki kabisa!!"alexander the Great"anakuwa na mawazo ya ki ZERO"!!hebu jaribu kuajiangalia kwenye bega lako, ukiona kuna kovu tu jua tayari, hayo uliyoandika lazima uwe nayo, kama bado basi jiandae ni suala la muda tu!!japo hiyo chanjo ulipigwa bila kujijua ila ndio basi tena, lazima madhara hayo yakupate!!
 
Kushikiwa akili ni shida kweli!!nyie tumeshawazoea huwa mna akili za kushikiwa tu, (kufuata upepo)kesho meko akisema kuwa hizo chanjo zimeagizwa na zitaanza kuwasiri nchini , mtajitokeza tena kuanza kumpongeza kuwa ni rais msikivu!!yaani hata huwa hamueleweki!!!hilo suala la chanjo halina mjadala ni suala la muda tu!!kuna mambo ya kimataifa, hasa yahusuyo afya kwa wananchi wako, sio yako tu kama rais!!
Daaa!!kauli ya juzi ya meko tayari umeshayaamini kuliko watu waliokaa maabara na kuumiza vichwa na pesa ?hatuwashangai hata miaka ile ARV'S cjui kama ulikuwa umeshazaliwa wakati zinaanza kutumika barani Afrika, ukosoaji kama huu ulikuwepo sana!!lakini niambie ni waafrika wangapi wakiwemo ndugu zako, wamefika leo hii kwa msaada wa hizi ARV, ??Mzungu akichomoa betri tu kufadhiri hizi dawa, tutatafutana!!!ukishazoea uongo wa kwenye siasa unataka kuuleta na kwenye mambo ya sayansi?!!
Uliyeshikiwa akili na ufahamu ni ww! Ndio maana upo kama zombi kupokea kila ujinga kutoka kwa wazingu! Asiyeshikiwa akili anakataa kwa kitu asichokitaka! Sayansi ni kama kisu...unaweza tumia kuandaa chakula na pia kinaweza geuka kuwa siraha ya maangamizi...inategemeana na nani amekishika wakati huo! Kama umeachiwa akili japo kidogo utaelewa nacho maanisha!
 
JE KUNA MTU HAPA AMBAYE HANA CHANJO! Naona watu wanaongea kama vile hawana chanjo kwanini bado tunawapeleka watoto wetu kwenye chanjo? na hizi zetu tulizonazo zilitengenezwa wakati wa ubaguzi kuliko leo!!. Zamani kulikuwa kuna ukoma umekomeshwa na chanjo sio watu kuongea pumba za vijiweni. Kama tulivyosema wasiotaka haina shida tutaweka akiba huwezi kulazimisha watu wazima lakini hatuwezi kuwaacha wazazi wetu bila chanjo kama zipo. wasiotaka waendelee kuongea na kutunga stori za mabeberu!
Unataka kubishana na watu wanaoangalia conspiracy theories bila kutafakari?
 
Mkuu bado unachanjo za mabeberu mwilini; pepopunda, polio, surua, nk
Hizo zilitengenezwa kwa kufuata maadili yote ya kuandaa chanjo na watu waliokuwa waadirifu! Sivyo ilivyo kwa sasa na kwa chanjo jaribio hii! Hivi ww ni mbumbumbu kiasi hicho kweli au unatania!
 
Sijaelewa kwanini waafrika wengi wanaigomea hii chanjo. Kuanzia wa huko mbele mpaka sisi huku Afrika.
Mbona tuna chanjo nyingi ambazo wametuletea mabeberu kuanzia zile za uchanga mpaka chanjo ya homa ya ini hakuna hata moja tunazotengeneza wenyewe.
Tizama hapa, Kisha tafakari[emoji116]
JamiiForums301560517.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliyeshikiwa akili na ufahamu ni ww! Ndio maana upo kama zombi kupokea kila ujinga kutoka kwa wazingu! Asiyeshikiwa akili anakataa kwa kitu asichokitaka! Sayansi ni kama kisu...unaweza tumia kuandaa chakula na pia kinaweza geuka kuwa siraha ya maangamizi...inategemeana na nani amekishika wakati huo! Kama umeachiwa akili japo kidogo utaelewa nacho maanisha!
Tulisha wazoea, wala hamtupi tabu!!ndio anawaaminisha eti tuko kwenye vita ya kiuchumi!!mzungu aamue kuwa na vita na TZ, mwaka mmoja ni mrefu sana!!kila siku mnawaomba pesa, na madini yako yote kuuzwa nje, ni lazima mzungu akukubalie, akikataa tu, hutayauza kokote duniani!!!
 
Serikali ikubali kupokea chanjo toka Russia na Cuba peke yake. Chanjo za nchi za magharibi wasizikubali kabisa.
 
Huko kwao kwenyewe nchi nyingi kipindi hiki chanjo wanatoa kwa watu wenye umri kuanzia miaka 70+, watu wanaofanya kazi kwenye huduma za afya tena frontline workers tu MD, Nurses and care workers. Wengine ni watu wanaoishi na magonjwa ya muda mrefu ambapo wakipata COVID kasheshe.

Na hayo ma group ndio kwanza wapo round ya kwanza, ili chanjo ifanye kazi inabidi wadungwe mara mbili.

Waliobaki wasubiri unaenda unapimwa ukikutwa una COVID unaambiwa haya nenda kajifungie na familia yako upambane nayo kwa mbinu zako; halafu wewe unataka upewe chanjo millioni 12.5 you are not serious.
 
Kushikiwa akili ni shida kweli!!nyie tumeshawazoea huwa mna akili za kushikiwa tu, (kufuata upepo)kesho meko akisema kuwa hizo chanjo zimeagizwa na zitaanza kuwasiri nchini , mtajitokeza tena kuanza kumpongeza kuwa ni rais msikivu!!yaani hata huwa hamueleweki!!!hilo suala la chanjo halina mjadala ni suala la muda tu!!kuna mambo ya kimataifa, hasa yahusuyo afya kwa wananchi wako, sio yako tu kama rais!!
Daaa!!kauli ya juzi ya meko tayari umeshayaamini kuliko watu waliokaa maabara na kuumiza vichwa na pesa ?hatuwashangai hata miaka ile ARV'S cjui kama ulikuwa umeshazaliwa wakati zinaanza kutumika barani Afrika, ukosoaji kama huu ulikuwepo sana!!lakini niambie ni waafrika wangapi wakiwemo ndugu zako, wamefika leo hii kwa msaada wa hizi ARV, ??Mzungu akichomoa betri tu kufadhiri hizi dawa, tutatafutana!!!ukishazoea uongo wa kwenye siasa unataka kuuleta na kwenye mambo ya sayansi?!!
Ni suala la muda tu.
IMG-20210129-WA0001.jpg
 
Serikali ikubali kupokea chanjo toka Russia na Cuba peke yake. Chanjo za nchi za magharibi wasizikubali kabisa.
Kwanini una sababu zozote za kisayansi au mnataka kuingiza siasa kwenye afya za watu.
 
Mkuu hukuwahi kupata chanjo yeyote toka utoto mpaka umri huo ukajua maana yake Mkuu ??
Sasa kama wao wamechanjwa.

Maana yake hawawezi kuambukizwa Corona.


So watuache tusichanjwe. Maana wao wana kinga, hatuwezi kuwaambukiza.
 
Back
Top Bottom