tiny madin
Member
- Sep 10, 2024
- 24
- 28
Ivi kwanini jamii ya kiafrica aijikubali ifike wakati wazungu pamoja na waarabu wasiwe nanafasi ya ubora kwenye maisha yetu we only live once tupunguze shobo na ngonzi nyeupeHata Hitler pia alikuwa Mwarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi kwanini jamii ya kiafrica aijikubali ifike wakati wazungu pamoja na waarabu wasiwe nanafasi ya ubora kwenye maisha yetu we only live once tupunguze shobo na ngonzi nyeupeHata Hitler pia alikuwa Mwarabu
Tutajie Mateka yupi amakamatwa bila sababu pumbavu kweli wewe.. Hizo Arabs zimeua waisrael zipo jela unasema ni mateka? kuna baadhani wana makosa ya kawaida kama wizi n.k wanafungwa na kuachiwa kama nchi zingine zilivyo.. Israel ukifanya kosa la kigaidi jela ni yako bahati nzuri hawana hukumu ya kunyonga ndio maaa Arabs wapo huru kufanya makosa.. kuna wengine wanajua wakifanya makosa familia zao zinalipwa pesa na serikali ya Abbas jambo ambalo linaudhi sana waisrael kwani wanakuwa encourage sana kufanya makosa.. Dawa wao Israel kwenye matukio wakikukosa kukuua wanavunja na nyumba ya familia zao mbwai mbwai tu.. Nitajie mateka wa kiarabu asiye na kosaMateka wameshikiliwa kwa sababu Israel imeshikilia Mateka wengi wa kipalestina wakiwemo watoto kabla hata ya october 7
Tutajie Mateka yupi amakamatwa bila sababu pumbavu kweli wewe.. Hizo Arabs zimeua waisrael zipo jela unasema ni mateka? kuna baadhani wana makosa ya kawaida kama wizi n.k wanafungwa na kuachiwa kama nchi zingine zilivyo.. Israel ukifanya kosa la kigaidi jela ni yako bahati nzuri hawana hukumu ya kunyonga ndio maaa Arabs wapo huru kufanya makosa.. kuna wengine wanajua wakifanya makosa familia zao zinalipwa pesa na serikali ya Abbas jambo ambalo linaudhi sana waisrael kwani wanakuwa encourage sana kufanya makosa.. Dawa wao Israel kwenye matukio wakikukosa kukuua wanavunja na nyumba ya familia zao mbwai mbwai tu.. Nitajie mateka wa kiarabu asiye na kosa