Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Aisee!
Kwahiyo kwakuwa walikuwa na coaster wakisafirisha abiria na sasa wameleta mabasi makubwa biashara inabadilika au imekuwa?
Kuna muda kumuelewa mtanzania inahitaji remedial class ya unafiki tu!
Posta haijawahi kusafirisha abiria kwa Coaster acha uongo!
Coaster za Posta ni za mfumo wa fuso kusafirisha parcels na magazeti upcountry!
Na yalikua yanakosa mafuta kama yote!
Uchafu ule!Na walikua na gari ngapi?Gari chache kama zote!