Shirika la Posta laanza biashara ya mabasi mikoani

Shirika la Posta laanza biashara ya mabasi mikoani

NIONAVYO.WANALAMBA SUMU YA PANYA.KAMA GLUCOSE EEE ILO..BASI.KUSAFIRISHA.VIFURUSHI.NI HASARA SANA MFANO.KUNA MAKAMPUNI YA USAFIRISHAJI.(MAFUSO) JANGAWANI PALE WANALIPISHA BOX LAKO.LABDA.,,2000 KUSHUSHA.,,1000. KUTOKA DAR.MPAKA KILIMANJARO MZIGO.WAKO UKIINGIA SAA 7 GARI.INAYOPAKIA.KAMA NI.SAA 7 IYOIYO ITAPAKIA.ASUBUI.UNAPOKEA.MZIGO.TOFAUTI.NA MABASI KUNGOJE NJIANI.WAO.WAKIAMBIWA.SHUSHA BOX LAKO.BREKI.MOSHI WAKIFIKA WANAKUULIZA OFIS.YAKO.ILIPO.KAMA HAPAFAI.FUSO.KUJA.WANA KUITA AU.TOA.AGIZO UACHWE.WAPI.OFISINI.KWAO.AU KWA.MIONGONI.MWA WATEJA.WAO
Jifunze kuandika mwandiko mzuri kwa herufi ndogo ndogo
 
Napingana na wazo la kumiliki mabasi ni bora wangeingia mkataba na dar lux new force kimbinyiko abc saratoga zuberi isamilo kusafirisha parcel.posta wawe na ofisi kila stendi kuu unapeleka bahasha na kuchukulia hapo pia
 
Una umri gani?
Shirika la posta kwa miaka mingi linamiliki mabasi yanayosafirisha abiria na vifurushi, hili sio jambo jipya.
Posta na expertise ya kuendesha kampuni ya usafiri wapi na wapi?
 
Pole sana, huwajui posta ndugu mtanzania, hiyo biashara wanaifanya kitambo sana wamekuwa na mabasi aina ya coaster kusafirisha abiria na mizigo/ vifurushi
Mimi nimekuwa nikipenda kutumia usafiri wao mpaka miaka ya uongozi Wa Mkapa tena abiria wengi walipenda kutumia mabasi yao ila ni machache ...
Ndio ukweli mchungu!

UDA type thing all over again!
 
Miaka ya zamani, usafiri wa kwenda na kutoka mikoani ulifanywa na serikali, enzi za Railway
 
Pata taarifa kuhusu posta na usafirishaji abiria kisha waulize wanaendeshewa na wajapan au wao wenyewe, wanafanya hii biashara miaka mingi sana, possibly huna taarifa kuhusu wao.
Muda utaongea. Labda waje kuendesha Wajapan.
 
MKUU NIMETAMANI SANA KUKUELEWA LAKINI NIMEISHIA KUTESEKA MUKICHWA.
NIONAVYO.WANALAMBA SUMU YA PANYA.KAMA GLUCOSE EEE ILO..BASI.KUSAFIRISHA.VIFURUSHI.NI HASARA SANA MFANO.KUNA MAKAMPUNI YA USAFIRISHAJI.(MAFUSO) JANGAWANI PALE WANALIPISHA BOX LAKO.LABDA.,,2000 KUSHUSHA.,,1000. KUTOKA DAR.MPAKA KILIMANJARO MZIGO.WAKO UKIINGIA SAA 7 GARI.INAYOPAKIA.KAMA NI.SAA 7 IYOIYO ITAPAKIA.ASUBUI.UNAPOKEA.MZIGO.TOFAUTI.NA MABASI KUNGOJE NJIANI.WAO.WAKIAMBIWA.SHUSHA BOX LAKO.BREKI.MOSHI WAKIFIKA WANAKUULIZA OFIS.YAKO.ILIPO.KAMA HAPAFAI.FUSO.KUJA.WANA KUITA AU.TOA.AGIZO UACHWE.WAPI.OFISINI.KWAO.AU KWA.MIONGONI.MWA WATEJA.WAO
 
Wakiondoa bureaucracy. Wafanyakazi wao wafukuzike hakika watu watayapenda. Tatizo la wafanyakazi wa serikali ni kuwa na majibu meusi
wanafukuzika ila tatizo ni sisi wafata huduma kwao huwa hatuwajibiki kuripoti sehemu husika juu hayo,tunabaki kulalamika pembeni
 
ila mtwara huduma hii ilikuepo tangu enzi za mkapa
Badala ya kubuni usasa ktk huduma za posta wahamia kupost watu,
Wameanza na Mtwara to masasi tata lao lenye rangi hiyohiyo kumbe imenoga sawa lkn naona lengo n kupunguza gharama ya ndege kwa vifurushi ili zipande mabas, lbda tufe tutayaona mengi
 
Mimi sidhani kama tatizo letu ni kuwa na kampuni za uzalishaji ama za biashara kama hizi. Nina hakika tuna uwezo wa kuwa na kampuni ama taasisi nyingi tu maana ndipo tulipotoka, rejea SUKITA, Shirika la Usagishaji, KAMATA, UDA n.k. Kivumbi ni kuzisimamia au utawala wake tu. Achilia mbali sayansi ya uendeshaji, kuna kitu kinaitwa ubadhirifu. Je, tayari tupo vizuri eneo hilo? Labda tubadilishe sheria zetu za maadili kazini, tuweke kipengele cha kuchinja mtu hadharani pindi akibugia fedha za shirika! Je, nani yupo tayari kusimamia uchinjaji wa wahujumu nchi bila ya kujali cheo, rangi, dini ama sura ya mtu? Hapa ni changamoto.

Yasitokee yale ya Animal farm kama tulivyosimuliwa na George Orwell.
 
Wafanyakazi wote wa serikali ni marufuku kutumia usafiri tofauti na huu..


Alisikika mlevi mmoja..
 
Pole sana, huwajui posta ndugu mtanzania, hiyo biashara wanaifanya kitambo sana wamekuwa na mabasi aina ya coaster kusafirisha abiria na mizigo/ vifurushi
Mimi nimekuwa nikipenda kutumia usafiri wao mpaka miaka ya uongozi Wa Mkapa tena abiria wengi walipenda kutumia mabasi yao ila ni machache ...

Vigari vya Coaster vya posta nani havijui?

Vile vigari ni vya vifurushi na haya ni ya kubeba watu!

Biashara mbili tofauti!

Kua serious wewe!

Unafananisha embe na machungwa?
 
!
!
Selikali Ikomae Na Miundombinu Tu Yenyewe Ikusanye Kodi. Biashara I waachie Sekta Binafsi. Sasa Hapo Watakuja Na Hoja Ya Kubana Ruti Flani Ziwe Za Hayo Mabasi Tu Wengine Hakuna. Selikali Haiwezi Kuwa Msimamizi Na Wakati Huo Huo Na Yenyewe Imo Kwenye Mashindano
 
!
!
Selikali Ikomae Na Miundombinu Tu Yenyewe Ikusanye Kodi. Biashara I waachie Sekta Binafsi. Sasa Hapo Watakuja Na Hoja Ya Kubana Ruti Flani Ziwe Za Hayo Mabasi Tu Wengine Hakuna. Selikali Haiwezi Kuwa Msimamizi Na Wakati Huo Huo Na Yenyewe Imo Kwenye Mashindano
Kuna vitu ni biashara na kuna vitu ni service oriented ambayo inabidi iwe subsidized na kodi zako..., Usafiri ni moja wapo ya hivyo vitu..., Business man bottom line ni profit na sio welfare ya mtumiaji, track record mbovu ya kuendesha haya mashirika sio mizani ya kupima ubora au ubaya wa taasisi fulani kuwa chini ya umma.., sasa hivi business kubwa ipo kwenye parcels kuliko watu..., kuna ubaya gani wakati wanapeleka hizo parcels wakapeleka na watu.. (kama inalipa) muhimu iwe free market na choice ya mtumiaji.. (serikali ikiamua kusimamia vizuri hao wengine watakufa kifo cha kawaida)

Kwanza ni kukufuru kuongelea mambo ya mabasi kwenye nchi kubwa kama hii badala ya train n.k.
 
Kwa jinsi serwkali inavyozembeaservice ya magari yake kwa haya ya kichina yana mwak 1 tuu njiani baadae ni mwendo kulala njiani
Yani sehemu ya bolt size 10 watafunga kamba, hata mwaka hayamalizi kama service za kunjunga
 
Vigari vya Coaster vya posta nani havijui?

Vile vigari ni vya vifurushi na haya ni ya kubeba watu!

Biashara mbili tofauti!

Kua serious wewe!

Unafananisha embe na machungwa?
Aisee!
Kwahiyo kwakuwa walikuwa na coaster wakisafirisha abiria na sasa wameleta mabasi makubwa biashara inabadilika au imekuwa?
Kuna muda kumuelewa mtanzania inahitaji remedial class ya unafiki tu!
 
Back
Top Bottom