Shirikisho la Soka Afrika CAF limeufungia Uwanja wa Benjamin Mkapa

Shirikisho la Soka Afrika CAF limeufungia Uwanja wa Benjamin Mkapa

We ndio unawalisha? Ebu acheni kulaumu watu kwa kufeli kwenu nyie CHADEMA. Jitafakarini wenyewe ndani ya chama na sio kulaumu watu.

Pia nakushauri kitu mkuu, usijipe umuhimu usionao kwa maisha ya watu. Wacha watu wafanye kile wapendacho.
We nawe CHADEMA wameingiaje hapo? Au unaugua CHADEMAphobia?
 
MKUU, kazi wanafanya maana Serikali haitoi chakula wala bundle la kushinda mitandaoni au vijiweni wakishashiba. Hii nchi watu wana stress, futa burudani ya soka uone.
Mipira ichezwe usiku,ili mchana watu watanye kazi.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Inasemekana Shirikisho la Soka Afrika CAF limeufungia uwanja wa Benjamin Mkapa kwa muda kutokana na ubovu wa eneo la kuchezea (pitch). Ripoti inaonyesha pitch mbovu na inazidi kuzorota. Wameitaka TFF kuchagua kiwanja kingine kwajili ya Robo fainali ya Shirikisho ya Simba hapo tarehe 9 April

Huu uwanja toka msimu unaanza hautumiki kwa mechi za ndani walidai kua wanaufanyia marekebisho, hii ncho yetu Siasa nyingi sana,
Bajeti ya maboresho ya uwanja huu ilikuwa Bilion 32 awali na baadae wakaongeza zaidi! Ajabu ni kuwa mwaka wa tatu sasa wanasema kazi inaendelea na ukiingia ndani unashangaa uwanja unazidi kuchakaa badlaa ya kuboreshwa! Nadhani upigaji huu umevuka mipaka! Usishangae kuambiwa ukarabati umefikia 95% na mkwanja umeshakata!
 
Umenijibu au unaniuliza tena? Mimi sifahamu chchte nipe majibu kama unajua.
1000257012.jpg
 
Tulishaelezea muda mrefu, Simba wana uharibu uwanja kwa kuzika vitu vya hovyo na makafara yasiyo faa.
Nyasi zile ata waweke mbolea na kumwagilia kila siku ni kazi bure.
Zile nyasi zina fungus wa makafara ata wamwagilie zitabaki za njano kwenye baadhi ya sehemu.

Baada ya muda ile njano itazidi kuongezeka katika maeneo ya uwanja.

Wanatakiwa waondoe udongo wote wajuu kwa kuchimba futi mbili na kuja na udongo mpya na kupanda nyasi mpya uku wakiondoa mabaki ya makafara kwa kuchoma moto.

Wakataze kabisa timu kuingia kufanya tambiko kabla ya mchezo na mazoezi yote yawe chini ya uangalizi.
Usione kaulimbiu ya Kwa Mkapa atoki mtu ukafikirinni utani, kuna vitu vichafu vimezindika uwanja.
 
Inasemekana Shirikisho la Soka Afrika CAF limeufungia uwanja wa Benjamin Mkapa kwa muda kutokana na ubovu wa eneo la kuchezea (pitch). Ripoti inaonyesha pitch mbovu na inazidi kuzorota. Wameitaka TFF kuchagua kiwanja kingine kwajili ya Robo fainali ya Shirikisho ya Simba hapo tarehe 9 April

Huu uwanja toka msimu unaanza hautumiki kwa mechi za ndani walidai kua wanaufanyia marekebisho, hii ncho yetu Siasa nyingi sana,
Ndio maana hata watu wasiostahili wanaweza kuamua chochote kuhusu huo uwanja huku aibu ya kitaifa ikizidi kuzizima.
 
Tulishaelezea muda mrefu, Simba wana uharibu uwanja kwa kuzika vitu vya hovyo na makafara yasiyo faa.
Nyasi zile ata waweke mbolea na kumwagilia kila siku ni kazi bure.
Zile nyasi zina fungus wa makafara ata wamwagilie zitabaki za njano kwenye baadhi ya sehemu.

Baada ya muda ile njano itazidi kuongezeka katika maeneo ya uwanja.

Wanatakiwa waondoe udongo wote wajuu kwa kuchimba futi mbili na kuja na udongo mpya na kupanda nyasi mpya uku wakiondoa mabaki ya makafara kwa kuchoma moto.

Wakataze kabisa timu kuingia kufanya tambiko kabla ya mchezo na mazoezi yote yawe chini ya uangalizi.
Usione kaulimbiu ya Kwa Mkapa atoki mtu ukafikirinni utani, kuna vitu vichafu vimezindika uwanja.
Kwa hiyo Simba wakiuloga unakuwa kiyanga yanga maana nyasi zinavaa jezi ya Yanga.
 
Serikali na TFF hawapo pamoja kwenye huo Uwanja ingawaje tff walitakiwa wawe washauri wakubwa kwa Serikali hata kuunda kamati ya wataalamu ya kuutunza uwanja wa Mkapa sio kama wanavyoenda kienyeji kama sasa watafungiwa sana.
Simba walitaka kwenda kufukia mbizi humo uwanjani, sasa unategemea uwanja uwanja utakuwaje na ubora?

Kama kuhudumiwa unahudumiwa tena na wale wachina tatizo ushirikina.
 
Inasemekana Shirikisho la Soka Afrika CAF limeufungia uwanja wa Benjamin Mkapa kwa muda kutokana na ubovu wa eneo la kuchezea (pitch). Ripoti inaonyesha pitch mbovu na inazidi kuzorota. Wameitaka TFF kuchagua kiwanja kingine kwajili ya Robo fainali ya Shirikisho ya Simba hapo tarehe 9 April

Huu uwanja toka msimu unaanza hautumiki kwa mechi za ndani walidai kua wanaufanyia marekebisho, hii ncho yetu Siasa nyingi sana,
Ndio maana wahuni juzi kati kupitia viongozi wao waliuteka na kufukuza kila aliyetaka kuingia na kufanya mazoezi kumbe hauna atakaye wahi kwa hiyo siku ni wake hata meneja wala kamishina aliogopa kutoa maamuzi kwa kuhofia usalama wake!
 
Ndio maana wahuni juzi kati kupitia viongozi wao waliuteka na kufukuza kila aliyetaka kuingia na kufanya mazoezi kumbe hauna atakaye wahi kwa hiyo siku ni wake hata meneja wala kamishina aliogopa kutoa maamuzi kwa kuhofia usalama wake!
Matokeo mabamsa wakazuia mazoezi ili Simba wasifukue walichofukia wao.
 
Serikali na TFF hawapo pamoja kwenye huo Uwanja ingawaje tff walitakiwa wawe washauri wakubwa kwa Serikali hata kuunda kamati ya wataalamu ya kuutunza uwanja wa Mkapa sio kama wanavyoenda kienyeji kama sasa watafungiwa sana.
Uwanja utasikia mara Mwamposa yupo na kundi lake la wahumini

Mara mashindano ya koroani, vurugu tupu
 
Back
Top Bottom