jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Serikali ina Viongozi wa Michezo kuanzia Waziri mpaka katibu mkuu, Na kuna Meneja wa uwanja ina maana huyu Meneja wa uwanja hajui mambo ya Michezo na usimamizi wa Uwanja.Nimeona. Makato ni kwa percent serikali, haikosi hela ya kuusuka huo uwanja wakishirikiana na tff.