Serikali ina Viongozi wa Michezo kuanzia Waziri mpaka katibu mkuu, Na kuna Meneja wa uwanja ina maana huyu Meneja wa uwanja hajui mambo ya Michezo na usimamizi wa Uwanja.
Serikali ina Viongozi wa Michezo kuanzia Waziri mpaka katibu mkuu, Na kuna Meneja wa uwanja ina maana huyu Meneja wa uwanja hajui mambo ya Michezo na usimamizi wa Uwanja.
Kuna sehemu tunakwama katika hizi nafasi tunazopewa, nadhani kuna haja ajira ziongezeke, ili kusiwe na kulala kwenye kazi tunazopewa. Inshort mazoea. Usimamizi tu wa uwanja unatushinda.