juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
- Thread starter
-
- #21
[emoji2] umenikumbusha mbali sana,kuna jamaa yangu alitapeliwa milioni moja na laki sabaUnakumbuka wale wa Facebook miaka ya 2012 na 2013 Anamkwambia ye Yupo Senegal Ni Yatima Baba kaacha Dola $ 500,000 Bank so unatakiwa umsadie Atakwambia mtumie MwanaSheria wao dola $ 1,000 ili athibitishe Bank ifanye Transfer kwako Halafu bint akija atakupa 15% ya Zile Dola ukituma $ 1,000 kwa Western Union ndo Ushaibiwa
[emoji2] umenikumbusha mbali sana,kuna jamaa yangu alitapeliwa milioni moja na laki sabaUnakumbuka wale wa Facebook miaka ya 2012 na 2013 Anamkwambia ye Yupo Senegal Ni Yatima Baba kaacha Dola $ 500,000 Bank so unatakiwa umsadie Atakwambia mtumie MwanaSheria wao dola $ 1,000 ili athibitishe Bank ifanye Transfer kwako Halafu bint akija atakupa 15% ya Zile Dola ukituma $ 1,000 kwa Western Union ndo Ushaibiwa
Badoo wengi sanaCku hiz nawaona wapo hizi Dating Site kam Badoo Flirich
Huyo ni stereo na sio nikki mbishi acha uongoKata pochi upate penzi au kula chochoro -Nikki Mbishi
Acha ufala,changamka fasta siku hzi hawana thamaniAisee mm fala. Cjawahi kua na pool (manzi) hapa jf
Mkafikishana wapi?Jf madada wa humu kwa vizinga hatari,jukwaani wanajifanyaga mambo safi kumbe njaa tupu katika 5 nilikuwa nao mmoja tu ndo alikuwa na penzi la kweli namie
stereo singasinga huyo kwenye nyimbo ya hisia sio nikkiKata pochi upate penzi au kula chochoro -Nikki Mbishi
Why 30,000? Asilimia kubwa wanawake vizinga vyao ni elfu30. Ata malaya akienda kutoa show ya kulala anadai elfu30
aaaah walinijarib nikawa nawaenjoi mapema coz nilixa waxitukia. mwisho wa siku waliona kama naelekea lakini hawakupata kituUnakumbuka wale wa Facebook miaka ya 2012 na 2013 Anamkwambia ye Yupo Senegal Ni Yatima Baba kaacha Dola $ 500,000 Bank so unatakiwa umsadie Atakwambia mtumie MwanaSheria wao dola $ 1,000 ili athibitishe Bank ifanye Transfer kwako Halafu bint akija atakupa 15% ya Zile Dola ukituma $ 1,000 kwa Western Union ndo Ushaibiwa
Kuna babu alichachawaga na dem wa Senegal sijui kama hakuliwa kiinua mgongo chake, make nlikua namwambia huyo tapeli haelewi anaona nampeperushiaUnakumbuka wale wa Facebook miaka ya 2012 na 2013 Anamkwambia ye Yupo Senegal Ni Yatima Baba kaacha Dola $ 500,000 Bank so unatakiwa umsadie Atakwambia mtumie MwanaSheria wao dola $ 1,000 ili athibitishe Bank ifanye Transfer kwako Halafu bint akija atakupa 15% ya Zile Dola ukituma $ 1,000 kwa Western Union ndo Ushaibiwa
Wale noma kwanza ni watu kibao yani wamejipanga na hasa wanawatumia watu wa Information TechnologyKuna babu alichachawaga na dem wa Senegal sijui kama hakuliwa kiinua mgongo chake, make nlikua namwambia huyo tapeli haelewi anaona nampeperushia
Unamwambia chukua hela kwa mtu hlf ukishakuja ntakupa umrudishie.siku hizi ni post paid mizinga ni ya nyuki tuu
Halafu viwanafunzi wao wanapenda sana elfu 20.Why 30,000? Asilimia kubwa wanawake vizinga vyao ni elfu30. Ata malaya akienda kutoa show ya kulala anadai elfu30
Mkuu kumbe siku hizi wameshuka bei? labda wanatofutiana quality maana mimi huwa napigwa vizinga vya elfu 50 nakuendelea, mniupdate pengine huu usawa wa Mhe. wa hapa kazi tu umefanya bei ishuke.Why 30,000? Asilimia kubwa wanawake vizinga vyao ni elfu30. Ata malaya akienda kutoa show ya kulala anadai elfu30