Shituka: Hizi ndio mbinu za wanawake wa kuwapata mitandaoni

[emoji2] umenikumbusha mbali sana,kuna jamaa yangu alitapeliwa milioni moja na laki saba
 
[emoji2] umenikumbusha mbali sana,kuna jamaa yangu alitapeliwa milioni moja na laki saba
 
Basi manz ambaye yupo Jf na hana jamaa hapa ajisogeze kwa pm yangu. Anitoe ufala
 
Napita[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Why 30,000? Asilimia kubwa wanawake vizinga vyao ni elfu30. Ata malaya akienda kutoa show ya kulala anadai elfu30

Hiyo ni benchmark kwasasa.
Ukiona vizinga vya 50, jua malaya watauza 50.
 
aaaah walinijarib nikawa nawaenjoi mapema coz nilixa waxitukia. mwisho wa siku waliona kama naelekea lakini hawakupata kitu
 
Kuna babu alichachawaga na dem wa Senegal sijui kama hakuliwa kiinua mgongo chake, make nlikua namwambia huyo tapeli haelewi anaona nampeperushia
 
Kuna babu alichachawaga na dem wa Senegal sijui kama hakuliwa kiinua mgongo chake, make nlikua namwambia huyo tapeli haelewi anaona nampeperushia
Wale noma kwanza ni watu kibao yani wamejipanga na hasa wanawatumia watu wa Information Technology
 
mjanja huwezi ingizwa mjini na hizo gia..mi sijawai kukuona af nikupe nauli uje dar,..mi nawapatiaa wenyewewanasepa...maana i dont care..ila akija fresh tukawasiliana tukaonana tukafahamiana...ahaaa nauli sioishu..ilasio mkoani...maana nauli ni kama unampa rafiki yako tu sio ishu...ilamizinga ya hivo holaaa kwa wengine...
 
Why 30,000? Asilimia kubwa wanawake vizinga vyao ni elfu30. Ata malaya akienda kutoa show ya kulala anadai elfu30
Mkuu kumbe siku hizi wameshuka bei? labda wanatofutiana quality maana mimi huwa napigwa vizinga vya elfu 50 nakuendelea, mniupdate pengine huu usawa wa Mhe. wa hapa kazi tu umefanya bei ishuke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…