Shituka: Hizi ndio mbinu za wanawake wa kuwapata mitandaoni

....teh hee hee..ngosha hii mbona kama skonyo hivi!
 
Tupe mbinu sasa ili tuwagonge pasipo kuwapa pesa kama wew ufanyavyo mkuu
 
Kumbe kuna sovisl network nyingi hivyo! Malaya ndio waliwao!!! Hata waandamane hawanipati ng'ooooo
 
Ongezea kodi ya nyumba. Anakwambia kodi imeisha na anatakiwa kulia miezi sits ila amepungukiwa 30 au 40 elfu. Beware of them
 
Umetoa hoja poa lakini umeshindwa kuimalizia. Ama umemaliza vbaya yaan ulichokusudia hasa kukisema kwa undani hukikisema
 
Mkuu hongera sana, weka ndani haraka hiyo mambo ukichelewa shauri lako
 
Sijapenda ujumbe wako kwa jamii.Bwana akusamehe uoe na uache uzinzi utakufa kidai kijura!!1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…