Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

We tulia ukienda pale kwanza utakutana na Leejay49 hayo mengine utayajua kulekule nataka tukaanzishe jambo kule mdogo wangu na wewe uwe boss usitumwe na watu kwenye ofisi zao.
Wallahi huu mwezi uki Isha, nakufata Kaka. Nitakuja jumba dogo unipe infi zaidi.
Usi nitupe baharini Sasa🤓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…