Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #361
Halafu songea Kuna kipi??Ndio maana unaanzisha thread za kuwakataza Wenzako wasiwape help Wanawake kumbe upo tee sana ? 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu songea Kuna kipi??Ndio maana unaanzisha thread za kuwakataza Wenzako wasiwape help Wanawake kumbe upo tee sana ? 🤣🤣🤣
Tukienda pale utajua kuna nini ngoja tumalize kwanza huu mwezi mtukufuSongea Kuna nini 😆, halafu fanya mpango wa nauli niende mtingoni.
Utakaa sawa tu we tulia 😊Yap jobless pro max Niko tee🤒, ume Anza kuni cheka Tena 🤔😆.
We si ume niambia v8 sio gari za Serikali
Basi Mimi ndod mwananchi🤓😆
Shekhe Mimi kuni toa kafara huwezi🤓, ngomaa hii haichezeki kizembe🤣Tukienda pale utajua kuna nini ngoja tumalize kwanza huu mwezi mtukufu
Kaka sindo ufanye mpango niende 🤒Utakaa sawa tu we tulia 😊
We tulia ukienda pale kwanza utakutana na Leejay49 hayo mengine utayajua kulekule nataka tukaanzishe jambo kule mdogo wangu na wewe uwe boss usitumwe na watu kwenye ofisi zao.Halafu songea Kuna kipi??
Halafu ukute umetuma muamala muda sio mrefuTupo pamoja Mkuu.
"KATAA OMBA OMBA TUNZA KIBUNDA CHAKO".
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Umefikiria vibaya sana aisee, kuanzia next week naanza ku fast sasa safari itakuwa haina maanaShekhe Mimi kuni toa kafara huwezi🤓, ngomaa hii haichezeki kizembe🤣
Nakutania kaka, ok tuki maliza mfungo nita kushitua💪😁Umefikiria vibaya sana aisee, kuanzia next week naanza ku fast sasa safari itakuwa haina maana
Pamoja sana mdogo wangu.Nakutania kaka, ok tuki maliza mfungo nita kushitua💪😁
Wallahi huu mwezi uki Isha, nakufata Kaka. Nitakuja jumba dogo unipe infi zaidi.We tulia ukienda pale kwanza utakutana na Leejay49 hayo mengine utayajua kulekule nataka tukaanzishe jambo kule mdogo wangu na wewe uwe boss usitumwe na watu kwenye ofisi zao.
Inshallah 🙏Wallahi huu mwezi uki Isha, nakufata Kaka. Nitakuja jumba dogo unipe infi zaidi.
Usi nitupe baharini Sasa🤓
Pamoja sana💪Inshallah 🙏
Usilie Sana🤣🤓, mkombozi wenu nime fika kuwa sanua vijanaKwenye hii mada mimi ni mlengwa wa kulia.
Nakupa support mtoa mada.
Naam wata elewa, wakimeza chupa badala ya peremende