Shivji anatakiwa aelewe hiyo ya mwenye nguvu anapata zaidi ni law of the nature, ukiangalia USA na Pueta Rico is the same kwamba mwenye nguvu ni usa, ukiangalia uhusiano wa USA na Europe utaona usa ndio wenye ku dictate zaidi , Hata Nguli Sengonda Mvungi aliwahi kuwauliza akina Jussaa na wenzake, watengeneze hiyo formula ya kuweka usawa katika ya watu million 40 na watu milllioni 2, proportionality yake ipoje? iwe kiuchumi , kimadaraka .
Chairman of the Mwalimu Nyerere Professorial Chair, Prof. Issa Shivi
He argued that in the process of forming three governments the mainland president would have a stronger voice because he would be ruling the bigger portion of the union.
Professor Shivji also wondered aloud why the police had been completely left out in all the seven issues of union as is the case in the existing constitution.
On human rights, Prof. Shivji said the draft constitution had left out important issues such as the right to conduct demonstrations to demand their constitutional rights and justice at work.
The draft constitution which was unveiled this year by the Constitutional Review Commission (CRC) proposes, among many things, formation of three governments
Kama kuna tatizo Nyerere alilotuachia basi ni huu Muungano, ilipaswa kuwa Muungano wa Serikali moja from the beginning, ila kwa sasa Wanzanzibar wanadai nchi yao yenye Mamlaka kamili, sasa hawa wanaong'ang'ania huu muungano watueleze wazi maslahi yao na hawa ni Watanganyika wenzetu ndio wanautaka huu Muungano.
Nguli wa sheria afrika Prof. Issa Shivji amesema kuunda serikali tatu hapa tz ni kuvunja muungano. Amesema si wakati muafaka sasa kulumbana kuhusu idadi ya serikali bali tulumbane kuhusu maendeleo ya nchi.
Amesema tunahitaji katiba mpya haraka lakini tuwe makini na baadhi ya mapendekezo yaliyopo kwenye rasimu ya katiba iliyotolewa hivi karibuni.
Source: taarifa za habari ktk vituo vya radio na television na magazeti mbalimbali hapa nchini pamoja mitandao ya kijamii
Serikali ina maana kila serikali itakuwa na jeshi kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa nchi
Ni kawaida ya wasomi wetu tu kuwachia wenzao wafanye kazi na wao kuangalia mapungufu na kuyafanyia bezo.kama kuna mtu ana clip yake atuwekee tupime ana hoja, au na yy mwenzetu kaamua kututeka kielimu
Wazanzibar kamwe hawawezi kukubali serikali moja i can bet one billion dollars, solution ya kudumu ni kuuvunja huu Muungano wa Nyerere na Karume. fullstop
Si muda muafaka sasa kufikiria miserikali mingi. Haifai hata kidogo
Kama kuna tatizo Nyerere alilotuachia basi ni huu Muungano, ilipaswa kuwa Muungano wa Serikali moja from the beginning, ila kwa sasa Wanzanzibar wanadai nchi yao yenye Mamlaka kamili, sasa hawa wanaong'ang'ania huu muungano watueleze wazi maslahi yao na hawa ni Watanganyika wenzetu ndio wanautaka huu Muungano.
Watanzania wavivu wakuifikiri kama nyie ndo mnaleta hoja za kijinga.Someni rasimu ya katiba mulewe mambo ya msingi ya Serikali ya Shirikisho na serikali za shiriki.Mambo ya Ulinzi na usalama ni ya Shirikisho na amiri Mkuu ni Raisi wa shirikisho, umesoma wapi kwamba kila serikali itakuwa na majehi yake?.Pili RASIMU ni maoni ya wananchi na siyo ya Waryoba au Tume, acheni unafiki.Serikali mbili hauwezekani na serikali moja haiwezekani.
Serikali ina maana kila serikali itakuwa na jeshi kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa nchi
si muda muafaka sasa kufikiria miserikali mingi. Haifai hata kidogo
Prof Sivji hotuba yaake ya kuaga kuwa mwenyekiti wa kigoda cha mwalimu ilikuwa inaonyeshwa live katika ITV na mimi nilibahatika kumsikliza katika sehemu ya mwisho wa hotuba yake.
Yeye anasema kuwa swala la muhimu sio kujadili idadi ya serikali bali maslahi ya taifa. Mapendekezo yake katika mfumo wa muungano ambayo amesema alishawahi kuyawakilisha kwa serikali ya Zanzibar ni kuwa na dola mbili kamili na kuwa na mabunge matatu, moja la tanganyika,moja la zanziba na moja la muungano. Pia anapendekeza mambo ya muungano ya angaliwe kwa level tatu za umuhimu, kuwe na mambo ya muungano, kuwe na mambo yasiyo ya muungano lakini yanaangaliwa kwa karibu sana na serikali au bunge la muungano na yawepo mambo ya common interest kwa wote.
Kwa mtu yeyote aliye ifuatilia hotuba hiyo naomba aongezee.
ITV, au Kigoda cha Mwalimu wakiiweka ile hotuba you tube watatusaidia sana,kwani ilikuwa ni hotuba ya kufungua macho kuhusu suala la rasimu ya katiba
Nguli wa sheria afrika Prof. Issa Shivji amesema kuunda serikali tatu hapa tz ni kuvunja muungano. Amesema si wakati muafaka sasa kulumbana kuhusu idadi ya serikali bali tulumbane kuhusu maendeleo ya nchi.
Amesema tunahitaji katiba mpya haraka lakini tuwe makini na baadhi ya mapendekezo yaliyopo kwenye rasimu ya katiba iliyotolewa hivi karibuni.
Source: taarifa za habari ktk vituo vya radio na television na magazeti mbalimbali hapa nchini pamoja mitandao ya kijamii
Matola, kama Nyerere angependekeza serikali moja unadhani Karume angekubali? Mtu mwenyewe alishawishiwa saaaana na bado akasema Muungano ni kama koti likikubana unalivua. Unahitaji mtu mmajumuni wa Afrika kwelikweli kama Nkrumah au Ghadaffi kukubali kuunganisha nchi mbili kuwa moja na serikali moja. Afrika ilikuwa na viongozi zamani lakini sasa hivi hakuna kitu! ooh, where are great sons of Africa?