SHIVJI: Serikali tatu ni kuvunja muungano

SHIVJI: Serikali tatu ni kuvunja muungano

sisi wazanzibar tulishasema zamani hatuutaki muungano ila nyinyi wabongo ndio mnangangania sasa hatujui kitu gani mnachotaka kutoka zanzibar so mnaonaje mkaenda kaburi kwa babayenu laanatullaah nyerere mkamwomba akubali mpewe tanganyika yenu na sisi tubakie na zanzibar yetu.
 

Chairman of the Mwalimu Nyerere Professorial Chair, Prof. Issa Shivi

He argued that in the process of forming three governments the mainland president would have a stronger voice because he would be ruling the bigger portion of the union.
Professor Shivji also wondered aloud why the police had been completely left out in all the seven issues of union – as is the case in the existing constitution.
On human rights, Prof. Shivji said the draft constitution had left out important issues such as the right to conduct demonstrations to demand their constitutional rights and justice at work.
The draft constitution which was unveiled this ye
ar by the Constitutional Review Commission (CRC) proposes, among many things, formation of three governments
Shivji anatakiwa aelewe hiyo ya mwenye nguvu anapata zaidi ni law of the nature, ukiangalia USA na Pueta Rico is the same kwamba mwenye nguvu ni usa, ukiangalia uhusiano wa USA na Europe utaona usa ndio wenye ku dictate zaidi , Hata Nguli Sengonda Mvungi aliwahi kuwauliza akina Jussaa na wenzake, watengeneze hiyo formula ya kuweka usawa katika ya watu million 40 na watu milllioni 2, proportionality yake ipoje? iwe kiuchumi , kimadaraka .
 
Na jambo moja la wazi lillilo na mapungufu katika Muungano huu ni uwiano wa wabunge, katika watu 10,000.00 Zanzibar kuna Mbunge , ukija bara unaweza kukuta wastani wa watu 100,000. hata katika nafasi za ubalozi nk, na hapo bado hatujaingia katika masuala ya contribution ya nchi hizi mbili katika kugharamia shughuli za Muungano. lakini bado kelele nyingi toka upande wa pili, mi nafikiri Zanzibar wangeomba muungano na Comoro, ndio wataelewana zaidi na proportionality yao ipo sawa.
 
Kama kuna tatizo Nyerere alilotuachia basi ni huu Muungano, ilipaswa kuwa Muungano wa Serikali moja from the beginning, ila kwa sasa Wanzanzibar wanadai nchi yao yenye Mamlaka kamili, sasa hawa wanaong'ang'ania huu muungano watueleze wazi maslahi yao na hawa ni Watanganyika wenzetu ndio wanautaka huu Muungano.

Matola, kama Nyerere angependekeza serikali moja unadhani Karume angekubali? Mtu mwenyewe alishawishiwa saaaana na bado akasema Muungano ni kama koti likikubana unalivua. Unahitaji mtu mmajumuni wa Afrika kwelikweli kama Nkrumah au Ghadaffi kukubali kuunganisha nchi mbili kuwa moja na serikali moja. Afrika ilikuwa na viongozi zamani lakini sasa hivi hakuna kitu! ooh, where are great sons of Africa?
 
Nguli wa sheria afrika Prof. Issa Shivji amesema kuunda serikali tatu hapa tz ni kuvunja muungano. Amesema si wakati muafaka sasa kulumbana kuhusu idadi ya serikali bali tulumbane kuhusu maendeleo ya nchi.

Amesema tunahitaji katiba mpya haraka lakini tuwe makini na baadhi ya mapendekezo yaliyopo kwenye rasimu ya katiba iliyotolewa hivi karibuni.

Source: taarifa za habari ktk vituo vya radio na television na magazeti mbalimbali hapa nchini pamoja mitandao ya kijamii

Huyu Mzee Unyerere unamsumbuwa. Anajitahidi kufanya kile alichoshindwa Nyerere juu ya Muungano. Unapokataa kuzungumzia Serikali una maana gani wakati nchi yoyote inaongozwa na Serikali? Tusizungumzie Serikali wakati ndiyo inayopanga hiyo mipango yote katika maisha ya nchi husika?
Malalamiko ya kila upande yanaletwa na mfumo wa serikali unaowaongoza katika utekelezaji wa shughuli zote. Mfumo wa Serikali wa zamani umeshindwa sasa tubaki nao? Kwanini tunataka tubadilishe katiba? Bila shaka umepitwa na wakati na imeshindwa kutuvusha hapa tulpo.
Mfumo wa Muungano nao umeshindwa kutuletea umoja tunaoutaka hivyo lazima tutafute mfumo mwengine. Professa anaposema kuwa labda ni kutatuliwa kwa matatizo ndio kupewe umuhimu, matatizo hayo yatatatuliwa vipi kwa mfumo ule ule ulioshindwa awali?
 
kama kuna mtu ana clip yake atuwekee tupime ana hoja, au na yy mwenzetu kaamua kututeka kielimu
Ni kawaida ya wasomi wetu tu kuwachia wenzao wafanye kazi na wao kuangalia mapungufu na kuyafanyia bezo.
 
Wazanzibar kamwe hawawezi kukubali serikali moja i can bet one billion dollars, solution ya kudumu ni kuuvunja huu Muungano wa Nyerere na Karume. fullstop

Hata Karume hakuwa tayari. Kauli za hawa Wanaotuzuga zinapingana kabisa na matendo halisi ya Karume. Karume hakuwahi hata siku moja kuchukulia nchi mbili hizi kuwa moja!
 
Huyu shijvi naye kapewa bichwa sana mpaka anapotea sasa, maoni yake juu ya muungano hayana uhalisia, ni wazi kwamba wazanzibar kwa sasa wanataka kuendesha baadhi ya mambo kwa kujitegemea, kwa maana nyingi kuwabana na serikali moja kwa misingi ya kulinda muungano huo ni udikiteta,
Pia shijvi anajaribu shawishi tukwepe democracy kwa kuogopa ghalama!!! hii ni ajabu mtu kama huyu kuna siku anaweza sema tusiwe na uchaguzi kwa kupunguza ghalama, ukweli ni kwamba kwa sasa maoni ya wananchi ndio kitu cha msingi, sioni sababu za kuendelea na serikali ya JMT na SMZ wakati Tanganyika haina serikali, matokeo yake inachanganya sana kujua ni yupi kiongozi wa Muungano na ni yupi wa Tanganyika,
Tukisema raisi wa JMT anasemami mambo ya Tanganyika pia huo ni upuuzi maana kura zake zinajumuisha watu wa zanzibar.
ni ngumu kwa sasa kuepuka Tanganyika maana kuna mambo ya msingi tunatakiwa kufanya, na zanzibar wafanya mambo yao, sio mbaya kama Muungano utavunjika kwa sababu tumeshindwa kaa meza moja, maana hakuna kitakacho haribika kwa muungano kuvunjika
 
Kama kuna tatizo Nyerere alilotuachia basi ni huu Muungano, ilipaswa kuwa Muungano wa Serikali moja from the beginning, ila kwa sasa Wanzanzibar wanadai nchi yao yenye Mamlaka kamili, sasa hawa wanaong'ang'ania huu muungano watueleze wazi maslahi yao na hawa ni Watanganyika wenzetu ndio wanautaka huu Muungano.

Haijawahi kwa mkoloni kuachia koloni kwa hiyari yake. Hilo ndilo tatizo!
 
Watanzania wavivu wakuifikiri kama nyie ndo mnaleta hoja za kijinga.Someni rasimu ya katiba mulewe mambo ya msingi ya Serikali ya Shirikisho na serikali za shiriki.Mambo ya Ulinzi na usalama ni ya Shirikisho na amiri Mkuu ni Raisi wa shirikisho, umesoma wapi kwamba kila serikali itakuwa na majehi yake?.Pili RASIMU ni maoni ya wananchi na siyo ya Waryoba au Tume, acheni unafiki.Serikali mbili hauwezekani na serikali moja haiwezekani.

Shivji anazungumzia vikosi ikiwamo Polisi. Unajuwa Watanganyika watajifunza kwa wenzao Zanzibar. Zanzibar wana vikosi na bado vinafanyakazi kwa ushirikiano na polisi na jeshi la Muungano. Au hata Tanganyika mbona kuna mgambo JKT, magetreza vyote vina silaha lakini kila kiosi kina kazi yake na kinashirikiana na jeshi na Polisi za Muungano?
 
Serikali ina maana kila serikali itakuwa na jeshi kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa nchi

KWANZA TUSOME RASIMU ya katiba mpya kabla ya kutoa maoni yetu. Rasimu inasema kutakuwa na JESHI MOJA AMBALO LIPO SERIKALI YA MUUNGANO.

Rais wa Muungano ndiye mmiliki wa majeshi yote hivyo suala la mgongano halipo sana.
 
Prof Sivji hotuba yaake ya kuaga kuwa mwenyekiti wa kigoda cha mwalimu ilikuwa inaonyeshwa live katika ITV na mimi nilibahatika kumsikliza katika sehemu ya mwisho wa hotuba yake.

Yeye anasema kuwa swala la muhimu sio kujadili idadi ya serikali bali maslahi ya taifa. Mapendekezo yake katika mfumo wa muungano ambayo amesema alishawahi kuyawakilisha kwa serikali ya Zanzibar ni kuwa na dola mbili kamili na kuwa na mabunge matatu, moja la tanganyika,moja la zanziba na moja la muungano. Pia anapendekeza mambo ya muungano ya angaliwe kwa level tatu za umuhimu, kuwe na mambo ya muungano, kuwe na mambo yasiyo ya muungano lakini yanaangaliwa kwa karibu sana na serikali au bunge la muungano na yawepo mambo ya common interest kwa wote.

Kwa mtu yeyote aliye ifuatilia hotuba hiyo naomba aongezee.

ITV, au Kigoda cha Mwalimu wakiiweka ile hotuba you tube watatusaidia sana,kwani ilikuwa ni hotuba ya kufungua macho kuhusu suala la rasimu ya katiba

Umeongea vema... Pia alisema kwamba kuwa na serikali tatu maana yake ni kuwa serikali ya muungano itaendeshwa na michango ya nchi washirika.. Kwa kulinganisha uchumi wa Tanganyika na Zanzibar ni dhahiri kuwa mchango wa Tanganyika kwenye serikali ya Muungano utakuwa mkubwa zaidi kuliko wa Zanzibar; na kama zisemavyo methali za kiswahili, aliyemlipa mpiga zumari ndiye huchagua wimbo.

Muungano utakuwa kwenye hatari na hatimaye kuvunjika kabisa kwa kuwa serikali ya Muungano itampendelea zaidi mshirika mwenye mchango mkubwa.
 
Nguli wa sheria afrika Prof. Issa Shivji amesema kuunda serikali tatu hapa tz ni kuvunja muungano. Amesema si wakati muafaka sasa kulumbana kuhusu idadi ya serikali bali tulumbane kuhusu maendeleo ya nchi.

Amesema tunahitaji katiba mpya haraka lakini tuwe makini na baadhi ya mapendekezo yaliyopo kwenye rasimu ya katiba iliyotolewa hivi karibuni.

Source: taarifa za habari ktk vituo vya radio na television na magazeti mbalimbali hapa nchini pamoja mitandao ya kijamii






Kumbe CDM kung'ang'ania serikali 3 ni kama tabula rassa
 
Matola, kama Nyerere angependekeza serikali moja unadhani Karume angekubali? Mtu mwenyewe alishawishiwa saaaana na bado akasema Muungano ni kama koti likikubana unalivua. Unahitaji mtu mmajumuni wa Afrika kwelikweli kama Nkrumah au Ghadaffi kukubali kuunganisha nchi mbili kuwa moja na serikali moja. Afrika ilikuwa na viongozi zamani lakini sasa hivi hakuna kitu! ooh, where are great sons of Africa?

The ruling elites in Zanzibar are a stumbling block to the union.
 
Huu upuuzi Serikali tatu unakera. Ilipaswa tuzungumzie 1 au kubaki na .2. Shivji is right let's talk of maendeleo and stop this muungano nonsense!
 
Huyu mzee anazeeka vibaya kwanza sio mzawa atuachie Tanganyika yetu!!
 
Back
Top Bottom