SHIWACHANDO - Umoja wa wanaume mnaoteswa na wake zenu

SHIWACHANDO - Umoja wa wanaume mnaoteswa na wake zenu

Malalamiko yalikuwa mengi kuwa mnanyanyaswa na wake zenu, mmepata nguvu sasa ya kutetewa na Rais wenu kashapatikana.

Huyu wa kustaafu ameniuma sana.

View attachment 2791184

Wamenitia huruma sana.

Matatizo kama haya sifahamu kama Wizara yetu ya ustawi wa jamii wana "plan" ya muda mrefu ya kuyashughulikia.

Hawa ni wenye ujasiri wachavhe sana waliojitokeza, kwa mfumo wa maisha yetu ya Tanzania ni aibu kwa mwanamme kuonekana anadhalilishwa na mwanamke, laiini kiukweli haya ni mengi sana na sijawahi kusikia kama yana njia za kukabiliana nayo kijamii.

Ngoja tumtag waziri wetu wa Ustawi wa Jamii aje kutupa mikakati (plans) zao kwenye hili.

cc Dkt. Gwajima D
 
Kataa kuoa mwanamke wa dar, unaoa matatizo badala ya mwanamke.
Kataaa
Kataa
Kataaaaaaaa
Wanawake wa Dar kwa sasa kwa asilimia kubwa hawana asili ya Dar.

Naamini kuwa maadili Tanzania yanatoweka kwa kasi kubwa sana, na naamini kama Taifa hatuna mikakati ya kupambana na mmonyonyoko wa maadili.

Haijalishi ni mwanamke wa wapi au mwanamme wa wapi.

Wake kwa waume kwa siku hizi, hawana kabisa mafunzo ya maadili kutokea wanavyokuwa. Zamani tulivyokulia sisi maisha yalikuwa ytpfauti sana.

Nakumbuka mimi, ilikuwa kwetu mtoto akionesha utukutu utasikia wazee wanasema apelekwe kwa shangazi "fulani" au ma mdogo fulani huyu atatia akili. Na kweli, huko unakopelekwa utatia akili.

Watu wamewacha kabisa mafundisho ya dini. Si Waislam si wasio Waislam, bila kurudi kwenye mafundisho ya Mwenyezi Mungu hatutaweza kufanikiwa kimaadili.
 
Hili tatizo lisifanyiwe utani wala mchezzo kabisa.

Manyanyaso ya kijinsia kwenye jamii hupelekea watu kufanya mambo ya ajabu sana kwenye jamii.

Ukisoma visa vya "wahaini" na wauwaji wakubwa wakubwa (serial killers) zaidi ya 90% vimeanzia kwenye kunyanyswa kijinsia, wegine kuanzia wadogo.

Hili jambo lichukuliwe kiuzito mkubwa sna kwenye jamii, si la mchezo mchezo.

Si vyema mwanamme kunyanyswa wala mwanamke kunyanyaswa. Ni hatari.
 
Unahisi umewakomoa? Hao walikua wanataka pia uwatoe marinda yao
hakuna alietaka ila tu kupenda dezo dezo na kutafuta vihela vya bure bure. Hakuna alietaka ndio maana kila aliyeshugulikiwa alitoa chozi na kakilio ka kujihisi hatia ila wangefanyaje sasa vihela wanavitaka.
 
Wanetu muwakate Sana Kama dharau zenyewe ndio hizi.
Piga Sana miti.
Mana ukizeeka tu kina Selemani wanakustaafisha ndoa yako.
FB_IMG_16951473939166652.jpg
 
Back
Top Bottom