SHIWACHANDO - Umoja wa wanaume mnaoteswa na wake zenu

SHIWACHANDO - Umoja wa wanaume mnaoteswa na wake zenu

Wazo zuri ngoja ni badilishe pin kabisa ya tigo pesa maana hii anaijuaπŸ‘Š
Yaani unabaki na ile inayotosha kulewa, kula na kukufikisha home tu. Ikibaki labda buku.

Mchezo wa kuzificha nyumbani huku umelewa kuna kusahau, kesho yake utatafuta nyumba nzima uzikose.
 
Usikute huna akili a.k.a una Poor Brain a.k.a una megawati below 0.05
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wewe kila siku unaambiwa maana ya poor brain sio umeme mdogo ..
Mbona huwelewi .
Kwa stahili hii inafaa uwe Rais wa SHIWACHANDO kule Mbeya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwanaume ukiona physically mwanamke anakuonea wewe huna haja ya kuendelea kuishi wewe pita zako tu hivi tuachie wanawake wetu tuendelee kuwanyoosha

Mwanaume hata kama ni mwanaume wa dar kuonewa na mwanamke ni jambo la kijinga sana, kishenzi na kiupumbavu na ni jambo la aibu mno.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wewe kila siku unaambiwa maana ya poor brain sio umeme mdogo ..
Mbona huwelewi .
Kwa stahili hii inafaa uwe Rais wa SHIWACHANDO kule Mbeya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuwa rais wa hicho chama si mpaka uwe Bushoke..!! Mi Aaliyyah wangu muoga balaa
 
Back
Top Bottom