FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Haya Dkt. Gwajima D
Haya matatizo unayazungumziaje
Muweme unamfahamu? Pengne huyo ndiyo kibondo chororo kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya Dkt. Gwajima D
Haya matatizo unayazungumziaje
Thubutu, ni kipigo mpaka ukikohoa damu zinatokea mdomoni.Inabidi mwanamkewako akuheshimu na kukutii ndo utaepuka hayo
Mbona kuwatesa ni kawaida ikiwa huna mtu anaekutii unamenywa tu vizuri 😀😀
baba kutosimamia majukumu yake ipasavyo..kumwachiq mkeo awe leader..lazima unyoookeHivi katika hali ya kawaida mwanamke anakutesa vipi kwenye familia yako.? Moja ya kitu ambacho huwa najiuliza sana kinatokeaje.
Aaah sioni namna kwakweli.
Labda kama unazungumzia kihisia ninaweza kukubali, lakini mwanaume kuonewa physically na mwanamke ni swala la ajabu.baba kutosimamia majukumu yake ipasavyo..kumwachiq mkeo awe leader..lazima unyoooke
Kwahiyo na mimi niteswe?bamdogooooo
Mwanamke wa dar ..🤣Kataa kuoa mwanamke wa dar, unaoa matatizo badala ya mwanamke.
Kataaa
Kataa
Kataaaaaaaa
nafasi ikitokea eeh uteswe tuKwahiyo na mimi niteswe?
Sasa hii ni kutoka kwa mamdogo, je EX atasema nini? Si atachagua andazi..!!nafasi ikitokea eeh uteswe tu
🤣🤣Kwamba unapigwaNaomba nijiandikishe hapa
hahahaha hata bila kuteswa ex na andazi linachaguliwa andazi mbonaSasa hii ni kutoka kwa mamdogo, je EX atasema nini? Si atachagua andazi..!!
Sema nini mamdogo, kumtesa mwenye hela wakati kwenu ni apeche alolo huwezi..!! Kama mlo wenyewe kwenu unaliwa saa 10 jioni haijulikani kama ni lanchi au dina..!! Huwezi kabisa kumtesa anayekupa milo yote mitatu kwa wakati na tena imesheheni mboga saba drafthahahaha hata bila kuteswa ex na andazi linachaguliwa andazi mbona
Ukikipata kitumie. Ni unamkanda haswa🤣🤣🤣Ladies ukipata nafasi ya kumtesa mtoto wa mama mkwe kwa namna yoyote ile unatuwakilisha vyema
😀😀😀😀
hujakutana na maskini jeuri bamdogoSema nini mamdogo, kumtesa mwenye hela wakati kwenu ni apeche alolo huwezi..!! Kama mlo wenyewe kwenu unaliwa saa 10 jioni haijulikani kama ni lanchi au dina..!! Huwezi kabisa kumtesa anayekupa milo yote mitatu kwa wakati na tena imesheheni mboga saba draft
Ukikandwa wewe usikimbilie dawatiniUkikipata kitumie. Ni unamkanda haswa🤣🤣🤣
Kuna uzi walifungukaga wanavyokandwa walah una vituko balaa🤣Wataandamana sasahivi
Aaah we! Dawati muhimu na nakufunga.Ukikandwa wewe usikimbilie dawatini