Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣 Hao wanaume wote wanaonekana umeme mdogo kichwaniHuna huruma kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Hao wanaume wote wanaonekana umeme mdogo kichwaniHuna huruma kabisa
Sa umecheka nini?Daaaaaah nimecheka sana.
Wii sikushauri labda upigane na michepuko yake 🤣🤣🤣Wee usiniambie kwahiyo nikajipange upya😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Maana kasema wadundwe Hadi mishono ya mama Yao ifumuke,hakika nikahisi nyuzi zinacheza japo boy wangu bado mdogoKama bado, Mungu amsaidie apate mtoto wa kiume mkandwaji
Usisahau, kila mwenzako ana mwenzake, na huyo mwenzako, mwenzake ni wewe, naye atafurahia ukimuwakilisha vyema..!!Loh sithubutu, ila mwenzangu akiwakilisha vyema huko naona poa😅
🤣🤣🤣🤣We unajua ni mwehu sana?Kwa hiyo lazima wabostiwe🤣🤣🤣 Hao wanaume wote wanaonekana umeme mdogo kichwani
🤣🤣🤣 Tena yule ataniua ana usela wote wa chugaUking'olewa meno ya kuchekea usitushirikishe..!!
vita ni vita mulaaaAisee kumbe vita
Kumbe ni bhabha lha bhabha..!🤣🤣🤣 Tena yule ataniua ana usela wote wa chuga
Hao wabostiwe tu hakuna namna 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We unajua ni mwehu sana?Kwa hiyo lazima wabostiwe
Nilipiga nusura nimtoe jicho nikapelekwa Central Police Station nikaingizwa lockup kule ndani nikakuta wanaume wengine watano wote kesi ni za kuwapiga wanawake, jioni nikatolewa baada ya kubainika mwenye makosa ni mwanamke Ila Mkuu wa kituo alikua upande wa Mwanamke, polisi baadhi ni waelewa sana wanawajua wanawake walivyo, sio wanaume wote wanaonewa wengine usijaribu utakatwa shingoNa polisi wanafanya makosa fulani ya kudhani kila tukio la kukandana kati ya mwanamke na mwanaume, mwanamke ndo anakuwa ameonewa always
😂😂😂 Hachelewi kutoa sime anipige bisu la tumboKumbe ni bhabha lha bhabha..!
Mamdogo Amehlo ona huyu Ex hapa alichosababishaSasa hii ni kutoka kwa mamdogo, je EX atasema nini? Si atachagua andazi..!!
Duh...!😎🤣🤣🤣 tena wawakanyagie mpk mishono ya ya uzazi ya mama zao ifumuke
Kwanza mi mwenzio siwezi kabisa kumkabili mwanaume eti nipigane?hapana hamna kiumbe namuogopa Kam mwanaume akibadilika anaweza kuwa mnyama akuchane uso bureHao wabostiwe tu hakuna namna 🤣🤣🤣
Hivi huo upuuzi unaweza kumletea bro? Masai yule anakuua na kukuzika mwenyewe
🤣🤣🤣🤣 bora utulie tu wifi yanguWii sijawahi kupigana na mtu Baki tangu nipigane la kwanza na nilipigwa kibao sijarudia 😂😂 sembuse mtu mzima mwenzangu wamchukue Sina nguvu my wii😂😂😂
Duh..Malalamiko yalikuwa mengi kuwa mnanyanyaswa na wake zenu, mmepata nguvu sasa ya kutetewa na Rais wenu kashapatikana.
Huyu wa kustaafu ameniuma sana.
View attachment 2791184