Shocking: Video inayomuonesha P Diddy akimpiga vibaya mpenzi wake Cassie yawekwa hadharani

Shocking: Video inayomuonesha P Diddy akimpiga vibaya mpenzi wake Cassie yawekwa hadharani

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Skendo inayomuandama msanii maarufu wa miondoko ya HipHop wa nchini Marekani, Puff Daddy a.k. P Didy, inazidi kupamba moto baada ya CNN kupandisha mitandaoni video inayomuonesha akimpiga vibaya mpenzi wake wa zamani, Cassie Ventura.

Video hiyo ilinaswa kwenye moja ya hoteli waliyoenda kwa mapumziko mwaka 2016.




----------------
Kipande cha video kilichonaswa kupitia kamera za CCTV kimeweka hadharani kupitia Kituo cha CNN kikimuonesha nguli wa Muziki wa Hip Hop, Sean "Diddy" Combs akimshambulia aliyekuwa mpenzi wake, Casandra "Cassie" Ventura hotelini Machi 5, 2016.

Baada ya video hiyo kuwekwa mtandaoni, Cassie hajatoa tamko lolote lakini Mwanasheria wake amenukuliwa akisema “Hizo ni baadhi ya tabia za Combs" wakati Mwanasheria wa Diddy hajatoa jibu

CNN imeeleza video hiyo ilirekodiwa katika moja ya Hoteli ya Los Angeles, Marekani, Cassie anaonekana akitoka chumbani kuelekea kwenye lifti kisha Diddy akiwa na taulo pekee anamfuata na kuanza kumpiga, anamvuta kwa kumburuza huku akionekana kutoa maneno kama anamfokea.

Mwendelezo wa video unaonesha Diddy anampiga mwenza wake huyo akiwa chini kisha anakusanya mizigo aliyokuwa nayo Cassie na kuondoka nayo.

Ofisi ya Mwanasheria wa Los Angeles imeeleza “Ikiwa ni tukio la Mwaka 2016 hatutaweza kushtaki kwa kuwa ni shambulio lililotokea nje ya muda unaostahili kufunguliwa mashtaka."

Inadaiwa kuwa Diddy alinunua video hiyo ya hotelini kwa Dola 50,000 alipobaini amenaswa kwenye kamera kwa wakati huo.
 
Aisee kwa jinsi US ilivyo, huyu career yake imeishia hapo, yaani hii haina mjadala.
Pdidy hana jipya tena. Its Over.... CCTV inaonyesha ilikuwa ni 2016 march, issue ya 2016 inakuja kumkaanga miaka 8 baadae, mazingira inaonekana walikuwa hotelini, sasa nashangaa ilikuaje waliokuwa wamiliki wa hio hotel walishindwa kutoa hizo video kwenye vyombo vya habari kipindi hiko, sijui walipewa pesa, noma mzee.

Kweli msomali ni msomali tu, nasikia ni jamii ya watu kukumaliza ukimzingua ni dk 0.

Hapo tegemea maandamano
 
Skendo inayomuandama msanii maarufu wa miondoko ya HipHop wa nchini Marekani, Puff Daddy a.k. P Didy, inazidi kupamba moto baada ya CNN kupandisha mitandaoni video inayomuonesha akimpiga vibaya mpenzi wake wa zamani, Cassie Ventura.

Video hiyo ilinaswa kwenye moja ya hoteli waliyoenda kwa mapumziko mwaka 2015.

View attachment 2992915
But these fuckers are desperate to finish Didy, hii kesi walishasettle na huyo binti yupo under influence kuifufua, kuna uwezekano wa didy kutohukumiwa kwa chcht zaidi ya kuishia kumchafua tu.

Wametafuta videos zote wakakosa sababu nyingi zingewaweka wasanii wengine wengi tu kibao jela au kuwaharibia image yao, kuna tetesi zinasema videos za parties za didy zikivujishwa basi 100+ celebs kwenye entertainment industry watahusika. Ndo maana wameamua kutumia hii ambayo kesi hake ilishamalizwa.

Long live Didy, kila mtu ana dark part yake. Shida inakuja unaposhirikiana na mtu kwenye dark part na ukaja kumuexpose huku ukitaka ww usionekane. Ngoja tuone hii kesi itaishaje kama sio kutuonesha kina bieber, usher, etc.. wakifirvva na kina rihanna wakipigwa gang bang, sijui itaishaje
 
Miaka kadhaa iliyopita nikiwa Kwenye mazungumzo na vijana fulani wa majuu maeneo fulani ya washua Nishawahi kusikia kwamba huyu na Birdman majamaa ni makatili ile mbaya!.., maovu na manyonyaji kwa wenzao. Na wasanii kibao mambele washafanyiwa unyama na dhulma na hao majamaa.
 
Aisee kwa jinsi US ilivyo, huyu career yake imeishia hapo, yaani hii haina mjadala.
Pdidy hana jipya tena. Its Over.... CCTV inaonyesha ilikuwa ni 2016 march, issue ya 2016 inakuja kumkaanga miaka 8 baadae, mazingira inaonekana walikuwa hotelini, sasa nashangaa ilikuaje waliokuwa wamiliki wa hio hotel walishindwa kutoa hizo video kwenye vyombo vya habari kipindi hiko, sijui walipewa pesa, noma mzee.

Hapo tegemea maandamano
Mkuu sheria ni sheria tu. Hakuna kesi kwa didy hapo.

Hio mambo walisettle kesho yake na ikaisha.

Labda useme hii iwe motivation ya videos nyingine kutokea.

Af FEDs wapuuzi tu, mtoto wa didy alitoa dis trak wao ndo wamejibu kwa video ambayo ishakua settled? Crap!

Kuna videos wanasema hadi Prince Harry yumo, ww unategemea nn? Zitaonyeshwa?

Hapa miamba miwili imegongana tu, didy anapambana na taasisi, one man army, kizuri na yy ni mafia kama wao.
 
Mkuu sheria ni sheria tu. Hakuna kesi kwa didy hapo.

Hio mambo walisettle kesho yake na ikaisha.

Labda useme hii iwe motivation ya videos nyingine kutokea.

Af FEDs wapuuzi tu, mtoto wa didy alitoa dis trak wao ndo wamejibu kwa video ambayo ishakua settled? Crap!

Kuna videos wanasema hadi Prince Harry yumo, ww unategemea nn? Zitaonyeshwa?

Hapa miamba miwili imegongana tu, didy anapambana na taasisi, one man army, kizuri na yy ni mafia kama wao.
Mkuu huyo demu sasa hivi ana cooperate vizuri na FBI na wakimfungulia Diddy mashtaka atakuwa shahid. Tena ni yeye ndo sababu kuu FBI kuvamia makazi ya Didy los angels and florida. Wazungu wanataka kummaliza diddy
 
Mkuu huyo demu sasa hivi ana cooperate vizuri na FBI na wakimfungulia Diddy mashtaka atakuwa shahid. Tena ni yeye ndo sababu kuu FBI kuvamia makazi ya Didy los angels and florida. Wazungu wanataka kummaliza diddy
Tuombe uzima tuone hii ngoma itaishia wapi.

Hv ww ulishaona mtu anavamiwa kwake na FEDs na wanakosa kitu?

Na nahisi hata waloanzisha hili sekeseke la diddy wanajilaumu sababu ni timely bomb, ushahidi wa kumpeleka diddy jela maisha upo sana tu, ila unawahusisha wengine weeengi.

Tukirudi kwenye hii video, "There's no case kwa diddy" sabb hio kesi walishasettle mapema kabisa, files zake zimeshafungwa, unless waitumie kumotivate watu wengine alowafanyia assault wamfungulie class action. Na ni hilo pekee ndo wanalolitafuta sabab ushahidi mwingine unawahusisha hadi Wafanyabiashara, entertainers na Gurus wa Manhattan na viunga vyake huko wallstreet, etc...
 
Tuombe uzima tuone hii ngoma itaishia wapi.

Hv ww ulishaona mtu anavamiwa kwake na FEDs na wanakosa kitu?

Na nahisi hata waloanzisha hili sekeseke la diddy wanajilaumu sababu ni timely bomb, ushahidi wa kumpeleka diddy jela maisha upo sana tu, ila unawahusisha wengine weeengi.

Tukirudi kwenye hii video, "There's no case kwa diddy" unless waitumie kumotivate watu wengine alowafanyia assault wamfungulie class action. Na ni hilo pekee ndo wanalolitafuta sabab ushahidi mwingine unawahusisha hadi Wafanyabiashara, entertainers na Gurus wa Manhattan na viunga vyake huko wallstreet, etc...
Mimi namuombea Diddy ashinde tu. Ndio alikosea lakini sakata lote ni racial motivated. Mamchukia sana 50 cent yani kashadidia kweli. Inatakiwa am -support nigger mwenzake ama akae kimya.
 
Back
Top Bottom