Dogo una vituko wewee" Bora kulia kwenye Lamborghini..kuliko kwenye baiskeli"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo una vituko wewee" Bora kulia kwenye Lamborghini..kuliko kwenye baiskeli"
50 cent na diddy wana bifu toka zamani sana, walishaga fikia hatua hadi ya kunyoosheana bunduki ndo maana sishangai sana. Ila cent kaonesha utoto sana.Mimi namuombea Diddy ashinde tu. Ndio alikosea lakini sakata lote ni racial motivated. Mamchukia sana 50 cent yani kashadidia kweli. Inatakiwa am -support nigger mwenzake ama akae kimya.
Kelly, Michael Jackson nk... hao walikua wapole tu na hawakua mamafia.Diddy kayakanyaga, jela inamtamani zaidi, ni suala la muda tu anaenda kuungana na R Kelly.
tutegemee kesi kibao za "me too"
Je kama walipenda?Ila Diddy laana zinamuandama. Sasa unawatatua marinda watu kama snoopy dog, floyd Mayweather na kina TD Jake's na rev Sharpton unadhani utapona. Hadi Trump Pdiddy kapitia.
Alichomtendea shyne unakikumbuka mkuu diddy na mwenezi mstaafu wanatakiwa jelaMimi namuombea Diddy ashinde tu. Ndio alikosea lakini sakata lote ni racial motivated. Mamchukia sana 50 cent yani kashadidia kweli. Inatakiwa am -support nigger mwenzake ama akae kimya.
Mnapata wapi nguvu za kumtetea Didy?But these fuckers are desperate to finish Didy, hii kesi walishasettle na huyo binti yupo under influence kuifufua, kuna uwezekano wa didy kutohukumiwa kwa chcht zaidi ya kuishia kumchafua tu.
Wametafuta videos zote wakakosa sababu nyingi zingewaweka wasanii wengine wengi tu kibao jela au kuwaharibia image yao, kuna tetesi zinasema videos za parties za didy zikivujishwa basi 100+ celebs kwenye entertainment industry watahusika. Ndo maana wameamua kutumia hii ambayo kesi hake ilishamalizwa.
Long live Didy, kila mtu ana dark part yake. Shida inakuja unaposhirikiana na mtu kwenye dark part na ukaja kumuexpose huku ukitaka ww usionekane. Ngoja tuone hii kesi itaishaje kama sio kutuonesha kina bieber, usher, etc.. wakifirvva na kina rihanna wakipigwa gang bang, sijui itaishaje
Unatetea ujingaBut these fuckers are desperate to finish Didy, hii kesi walishasettle na huyo binti yupo under influence kuifufua, kuna uwezekano wa didy kutohukumiwa kwa chcht zaidi ya kuishia kumchafua tu.
Wametafuta videos zote wakakosa sababu nyingi zingewaweka wasanii wengine wengi tu kibao jela au kuwaharibia image yao, kuna tetesi zinasema videos za parties za didy zikivujishwa basi 100+ celebs kwenye entertainment industry watahusika. Ndo maana wameamua kutumia hii ambayo kesi hake ilishamalizwa.
Long live Didy, kila mtu ana dark part yake. Shida inakuja unaposhirikiana na mtu kwenye dark part na ukaja kumuexpose huku ukitaka ww usionekane. Ngoja tuone hii kesi itaishaje kama sio kutuonesha kina bieber, usher, etc.. wakifirvva na kina rihanna wakipigwa gang bang, sijui itaishaje
Simtetei diddy, mm naongea facts.Mnapata wapi nguvu za kumtetea Didy?
Mnawashika ubaya wazungu kwa tabia zenu za laanaP didy amekwisha wazungu wamedhamiria kummmaliza kabisa. Ila huyo demu Casie amsaidie tu Pdiddy kupotezea hili sakata kwasababu wazungu wanamtumia.
Mnakuwa exploited na waovu sugu kumuumiza muovu mmoja.Unatetea ujinga
Kama unao ushahidi wa hao wengine peleka mahakamani uovu ni uvovu tu haijalishi kafanya nani mtu anafanya upumbavu anajificha kwenye issue ya rangiSimtetei diddy, mm naongea facts.
Hao wanaoyaweka wazi maovu ya diddy wameficha maovu mangapi? Na wao ni waovu kiasi gn?
Hebu kuwa na reasoning kdg, usiruhusu watumie hisia zako
Asapoti upumbavu kisa ni mweusi mwenzake?Mimi namuombea Diddy ashinde tu. Ndio alikosea lakini sakata lote ni racial motivated. Mamchukia sana 50 cent yani kashadidia kweli. Inatakiwa am -support nigger mwenzake ama akae kimya.
Ila madem wanamdomo unaweza kuta alimtukana Diddy. Kwenye hiyo video kampiga na kumnyang'anya designer handbags alizomnunulia.Angembutua vitasa vya uso amng'oe pua na meno. Didy kanikwaza sana kumtekenya mchumba kimahaba namna hiyo.
Huyo ni ndugu yako wewe. Mbona wazungu wanalindana hata wakifanya uovu. Mtetee niga mwenzako bana.Kama unao ushahidi wa hao wengine peleka mahakamani uovu ni uvovu tu haijalishi kafanya nani mtu anafanya upumbavu anajificha kwenye issue ya rangi
Na ukiona hivyo Diddy kakomaa na kukataa kutoa kafara wanayemtaka. Hapo ndo nawapendea Illuminati wanakubaligi tu kafara wanayotaka na kuchagua. Ingekuwa eti ni wewe ndo unachagua nwatu baki wengi wangetolewa kwa mafungu.illuminati wakishamalizana na wewe wanakutelekeza peke yako , huwaga no suala la muda tu