Shocking: Video inayomuonesha P Diddy akimpiga vibaya mpenzi wake Cassie yawekwa hadharani

Shocking: Video inayomuonesha P Diddy akimpiga vibaya mpenzi wake Cassie yawekwa hadharani

Aisee kwa jinsi US ilivyo, huyu career yake imeishia hapo, yaani hii haina mjadala.
Pdidy hana jipya tena. Its Over.... CCTV inaonyesha ilikuwa ni 2016 march, issue ya 2016 inakuja kumkaanga miaka 8 baadae, mazingira inaonekana walikuwa hotelini, sasa nashangaa ilikuaje waliokuwa wamiliki wa hio hotel walishindwa kutoa hizo video kwenye vyombo vya habari kipindi hiko, sijui walipewa pesa, noma mzee.

Kweli msomali ni msomali tu, nasikia ni jamii ya watu kukumaliza ukimzingua ni dk 0.

Hapo tegemea maandamano
Pdidy sio msomali nani alikudanganya
 
Aisee kwa jinsi US ilivyo, huyu career yake imeishia hapo, yaani hii haina mjadala.
Pdidy hana jipya tena. Its Over.... CCTV inaonyesha ilikuwa ni 2016 march, issue ya 2016 inakuja kumkaanga miaka 8 baadae, mazingira inaonekana walikuwa hotelini, sasa nashangaa ilikuaje waliokuwa wamiliki wa hio hotel walishindwa kutoa hizo video kwenye vyombo vya habari kipindi hiko, sijui walipewa pesa, noma mzee.

Kweli msomali ni msomali tu, nasikia ni jamii ya watu kukumaliza ukimzingua ni dk 0.

Hapo tegemea maandamano
Wamemfungia na safari hii hatoboi. Tetesi ni kwamba jamaa alikua akihonga sana kufunika maovu yake. Lakini pia kuna mtu so powerful kwenye bunge la congress amemzingua, so musika akavujisha madudu yote kwa vyombo vya usalama
 
Mimi namuombea Diddy ashinde tu. Ndio alikosea lakini sakata lote ni racial motivated. Mamchukia sana 50 cent yani kashadidia kweli. Inatakiwa am -support nigger mwenzake ama akae kimya.
Tatizo la didy alikua akitumia pesa kufunika madudu yake, sikuzote pesa hazi guarantee 100% success, at one point ukweli wote hutoka nje, ukiona mpaka black wenzako wanakutenga ( na si 50 tu) japo kuwa 50 amekuwa akitangaza madudu yake before tukio hili, ujue didy ana shida. Even black community inakutenga kuna shida
 
Hata ufanye mambo mema kiasi gani siku dark side Yako ikiumbuka you are over mchizi legacy yake ndio Ina decline hivyo

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Ni kweli Mkuu

Hoja yangu ni vyema kujua kujizuia hasa unapokuwa na hasira

Mwanaume makini hawezi kumpiga Mwanamke, japo najua wanakera sometimes

Natolea mfano, Shemeji yenu alipokuwa Mjamzito alikuwa ana visirani sana pamoja na maneno ya kukera

Ilibaki kidogo nimtie makofi, nilifanikiwa kujizuia Kwa kutomjibu neno lolote kutoka kwenye kinywa changu

Niliwasha gari nikaenda Mjini, nikacheki mpira huko then nikapita baa Moja hivi nikachoma Kuku mzima na kumfungia

Nimefika nyumbani nikampatia yule kukuchoma, then nikaingia chumbani.

Baada ya muda alikuja Chumbani kuniomba msamaha, kilichofuatia ITV....🤗
 
Unataka kusema Mkuu umeshaanza kumpiga vibao yule Mpenzi wako ambaye hamna hata miezi 3 pamoja 😜🙌

Muhimu kujifunza kujizuia hasa unapopatwa na hasira 🙏 (Hii ni mbinu pia ya kudeal nao hao wanaotupatia utamu wa kitandani)

Zipo njia nyingine ikiwemo kuachana naye huyo mpenzi ambaye unadhani ni msaliti kwako mara Kwa mara hivyo hukulazimu kumtia makofi ili kum-shape tabia

Hofu yangu ni kwamba upo mstari mwembamba sana kati ya Uhai na Mauti.....unaweza kumpiga mtoto wa watu kumbe ndiyo ilikuwa Siku yake ya kuondoka Duniani, hivyo maisha yako yote ukaishia gerezani

Maisha bado ni matamu haya

Kuna Nchi ina Wanawake wengi ambao wamekosa Wanaume wa kuwaoa, ndiyo huyo Mwajuma ndala ndefu aje akuharibie maisha kirahisi?
Ntaondoka na hyo ya kucontrol hasira...hawa watu wanakera sana, Moja nlikuwa na malengo nae aisee alikua na mdomo huyo nlikimbia mwenyw sikutaka kum-wamba makofi, Kuna kipindi mawasiliano yalidorora akaja dar kimya kimya maana anapofanyia kazi sio mbali akaenda geto direct siku ya kufa nyani bn😁siku zote siachagi funguo siku hyo nlimwachia dogo flan wa chuo aliniomba ili angalie mpira


Yule dogo akaingiza manzi yake akaichapa vzr ila yule manzi aliacha baadhi ya vitu na dogo hakuondoa nlipigiwa makelele najaribu kumuelewesha lkn waaapi ndo kipindi pekee nlikaa na opposite sex na Sina hata mzuka
 
Ntaondoka na hyo ya kucontrol hasira...hawa watu wanakera sana, Moja nlikuwa na malengo nae aisee alikua na mdomo huyo nlikimbia mwenyw sikutaka kum-wamba makofi, Kuna kipindi mawasiliano yalidorora akaja dar kimya kimya maana anapofanyia kazi sio mbali akaenda geto direct siku ya kufa nyani bn😁siku zote siachagi funguo siku hyo nlimwachia dogo flan wa chuo aliniomba ili angalie mpira


Yule dogo akaingiza manzi yake akaichapa vzr ila yule manzi aliacha baadhi ya vitu na dogo hakuondoa nlipigiwa makelele najaribu kumuelewesha lkn waaapi ndo kipindi pekee nlikaa na opposite sex na Sina hata mzuka
Pole Mkuu

Kwa muda nilioweza kuyaishi maisha ya Ndoa, nimegundua Mwanamke ukimtunza vizuri (kula vizuri/Kulala Pazuri/mavazi/Saluni/usafiri n.k) then ukamnyima tendo huwa anawehuka.

Ndiyo wakati ambao atakuwa na kisirani/ hasira za mara Kwa mara

Ikifika hiyo stage, hakikisha unamnyoosha kweli kweli Kwa bed

Mpige tatu tatu Kila Siku Kwa Siku tatu mfululizo hutauona huo mdomo wake Wala kisirani chake 😅 🙌

Pia hata kama una makoloni yako sehemu, hakikisha hayajui hata Kwa bahati mbaya.

Hakikisha huna ushahidi wowote wa kumfanya ahisi unachepuka
 
Tuombe uzima tuone hii ngoma itaishia wapi.

Hv ww ulishaona mtu anavamiwa kwake na FEDs na wanakosa kitu?

Na nahisi hata waloanzisha hili sekeseke la diddy wanajilaumu sababu ni timely bomb, ushahidi wa kumpeleka diddy jela maisha upo sana tu, ila unawahusisha wengine weeengi.

Tukirudi kwenye hii video, "There's no case kwa diddy" sabb hio kesi walishasettle mapema kabisa, files zake zimeshafungwa, unless waitumie kumotivate watu wengine alowafanyia assault wamfungulie class action. Na ni hilo pekee ndo wanalolitafuta sabab ushahidi mwingine unawahusisha hadi Wafanyabiashara, entertainers na Gurus wa Manhattan na viunga vyake huko wallstreet, etc...


Inanikumbusha waziri mmoja wa zamani Zimbabwe, walifanya uchunguzi ikaonekana ana kesi ya kujibu...alisema tu "...I am not sinking alone..." Akimaanisha kwenye hilo sakata, wakiamua kumgusa, ataondoka na Kijiji ilibidi kesi ifungwe tu.
 
Qumamee kwa video hii hata bongo huponi
Skendo inayomuandama msanii maarufu wa miondoko ya HipHop wa nchini Marekani, Puff Daddy a.k. P Didy, inazidi kupamba moto baada ya CNN kupandisha mitandaoni video inayomuonesha akimpiga vibaya mpenzi wake wa zamani, Cassie Ventura.

Video hiyo ilinaswa kwenye moja ya hoteli waliyoenda kwa mapumziko mwaka 2016.

G
 
Daaah we ni fala kweli🤣🤣 kwa hiyo namaste komasava aliliwa.... Daaa nchi ngumu Sana hii..
Hakuna suala la uzungu wala uafrika. Pdidy ni mnyama. Waafrika mnakosea mkitaka kupewa haki yenu mnataka jificha kichaka cha ubaguzi. Pdiddy alimla mpaka msanii wenu wa kiume mmoja wa hapa Tz. But wanaomfahamu pdidy watakuambia ni mnyama kinyama. Ni mafia. So si suala la wazungu wala waafrika.
🤣🤣
 
Pole Mkuu

Kwa muda nilioweza kuyaishi maisha ya Ndoa, nimegundua Mwanamke ukimtunza vizuri (kula vizuri/Kulala Pazuri/mavazi/Saluni/usafiri n.k) then ukamnyima tendo huwa anawehuka.

Ndiyo wakati ambao atakuwa na kisirani/ hasira za mara Kwa mara

Ikifika hiyo stage, hakikisha unamnyoosha kweli kweli Kwa bed

Mpige tatu tatu Kila Siku Kwa Siku tatu mfululizo hutauona huo mdomo wake Wala kisirani chake 😅 🙌

Pia hata kama una makoloni yako sehemu, hakikisha hayajui hata Kwa bahati mbaya.

Hakikisha huna ushahidi wowote wa kumfanya ahisi unachepuka
Ntazingatia ushauri hasa wa kupiga Moshi tatu
 
Back
Top Bottom