Shocking: Video inayomuonesha P Diddy akimpiga vibaya mpenzi wake Cassie yawekwa hadharani

Shocking: Video inayomuonesha P Diddy akimpiga vibaya mpenzi wake Cassie yawekwa hadharani

Tuombe uzima tuone hii ngoma itaishia wapi.

Hv ww ulishaona mtu anavamiwa kwake na FEDs na wanakosa kitu?

Na nahisi hata waloanzisha hili sekeseke la diddy wanajilaumu sababu ni timely bomb, ushahidi wa kumpeleka diddy jela maisha upo sana tu, ila unawahusisha wengine weeengi.

Tukirudi kwenye hii video, "There's no case kwa diddy" sabb hio kesi walishasettle mapema kabisa, files zake zimeshafungwa, unless waitumie kumotivate watu wengine alowafanyia assault wamfungulie class action. Na ni hilo pekee ndo wanalolitafuta sabab ushahidi mwingine unawahusisha hadi Wafanyabiashara, entertainers na Gurus wa Manhattan na viunga vyake huko wallstreet, etc...
Unajua Cassie asingesettle mapema..nje YA mahakama..Na Diddy ana team nzuri YA wanasheria...

Ndio maana Kuna kesi huwa zinaishia nje YA mahakama, Na unaambiwa hutakiwi kupelekwa mahakamani ..mna imaliza amicably..nasikia Diddy alimlipa Zaidi YA Dola milion 10 just imagine

Ndio maana Cassie Hana cha kusema Na kupart inamkataza kutoongelea Tena Na alisign mkataba Huo..hivyo hiii issue labda wamuchafue tu Diddy

Didy Ni MTU mwema pamoja Na makando kando Ni pioneer Wa kutetea black culture ndio maana anaundiwa zengwe

Watu kama Akina Wayne,Drake,Kanye sijawahi kuwaona wakiwa front kwenye black lives matter Ila Diddy amekuwa mstari Wa mbele kuwatetea black
 
Mbona Trump kafunguliwa kesi tatu kubwa na waendesha mashtaka weusi wote watatu na hakuna anayelalamika?.
 
50 atakuwa aliliwa na D,ndo maana ana hasira naye.
50..? Uko sawa kweli..? Mtu alieshindikiana kuuwawa na ma drag dealer wa kutupwa aka survive 9shots zote kajiangalie. Diddy walihusika kunshusha 50 kimziki na kumpigania kanye ndio maana 50 hataki usenge pia wa diddy. Diddy ni shoga sasa 50 sio shoga hawawezi kuwa kitu kimoja
 
Ila madem wanamdomo unaweza kuta alimtukana Diddy. Kwenye hiyo video kampiga na kumnyang'anya designer handbags alizomnunulia.
Yah unaambiwa ukiona Mume anampiga mkewe usikae kijinsia chunguza mchongo uuelewe, wanakwaza sana hawa watu. Sikia unaambia nipige uniue unadhani mimi ni kama Mama yako ambaye haogagi😁
We unafanyaje hapo?
 
Aisee kwa jinsi US ilivyo, huyu career yake imeishia hapo, yaani hii haina mjadala.
Pdidy hana jipya tena. Its Over.... CCTV inaonyesha ilikuwa ni 2016 march, issue ya 2016 inakuja kumkaanga miaka 8 baadae, mazingira inaonekana walikuwa hotelini, sasa nashangaa ilikuaje waliokuwa wamiliki wa hio hotel walishindwa kutoa hizo video kwenye vyombo vya habari kipindi hiko, sijui walipewa pesa, noma mzee.

Kweli msomali ni msomali tu, nasikia ni jamii ya watu kukumaliza ukimzingua ni dk 0.

Hapo tegemea maandamano
Mzee umesikiliza huyo mtangazaji vizuri? Didy alimwaga mpunga video isitoke
 
Kelly, Michael Jackson nk... hao walikua wapole tu na hawakua mamafia.

Diddy namba chafu, ni mafia kabla hajawa illuminati.
Watu wanafikiri Didy is just another an average powerless african American.... huyo jamaa sio tu kwamba ni mafia bali ni mtu mwenye nguvu sana kiasi kwamba ana control mpaka music industry ya marekani.... wengi waliotofautiana na yeye wamepotea na hawajawahi kurudi.

Tukiachana na muziki lakini pia anashirikiana na wafanya biashara wakubwa wa huko kwao New York kwenye matukio mengi sana yaliyogubikwa na umafia wa kibiashara... ushawahi kujiuliza ni kwanini siku hizi hatoi hata album lakini kila mwaka huwa lazima awemo kwenye top 3 ya marapper matajiri duniani??

Kwa hela alizonazo ana miliki magenge ya kimafia ambayo ndio anayatumia kupambana na maadui zake, na huwa haogopi kuyataja mfano kwenye ngoma ya "hate me now" aliyoshirillkishwa na Nas kuna sehemu anakwambia hivi

"Money is power, motherfuxker... i got millions of thugs on salary, do it now"
Hapo akiwa na maana ya kwamba yeye anamiliki mamilioni ya wahuni kwa ajili tu ya kuwatumikisha kutekeleza matukio ya kimafia na amewaweka kwenye payroll, jaribu na wewe.

Na pia kuna rumours kwamba anafahamu siri nyingi sana za ma agents wa FBI na hata kifo cha Pac yeye ndio alikuwa mastermind alishirikiana na hao hao FBI agents na ndio maana hata interrogation huwa hawamfanyii kabisa kama ambavyo wanamsumbua Suge Knight.

Hili sakata la Didy sio dogo kama wengi wanavyolichukulia.... sio R.kelly huyo
 
Sasa kipigo kinatibu verbal abuse si unakaa nae mbali tu akaolewe na mama yake aliyemlea vibaya
"Katika wanaume wewe nae unajiona ni mwanaume msenge wewe?....wewe unaonekana tu ni mwanamke mwenzangu, hebu nitolee upuuzi wako shoga wewe"

Hayo ni maneno aliwahi kuambiwa mshikaji wangu na mwanamke ambaye alikuwa ni mchumba wake tena mbele za watu...

Sasa kwa matusi yenye kutia hasira kama hayo, wewe utabaki unamuangalia tu eti kwa sababu hautakiwi kumpiga mwanamke??? Hivi unajua jinsi gani matusi au lugha mbovu zinavyoweza kumuharibu mwanaume kiasaikolojia?

Na pia unatambua kwamba asilimia kubwa ya instigators wa domestic violence majumbani ni wanawake sababu ya midomo yao michafu?

Mimi nafikiri nyie watetezi wa wanawake kabla hamjaanza kuwahasa wanaume waache kupiga mwanamke, inatakiwa kwanza muwafundishe wajiepushe kuwa provoke wanaume kwa midomo yao michafu...
 
"Katika wanaume wewe nae unajiona ni mwanaume msenge wewe?....wewe unaonekana tu ni mwanamke mwenzangu, hebu nitolee upuuzi wako shoga wewe"

Hayo ni maneno aliwahi kuambiwa mshikaji wangu na mwanamke ambaye alikuwa ni mchumba wake tena mbele za watu...

Sasa kwa matusi yenye kutia hasira kama hayo, wewe utabaki unamuangalia tu eti kwa sababu hautakiwi kumpiga mwanamke??? Hivi unajua jinsi gani matusi au lugha mbovu zinavyoweza kumuharibu mwanaume kiasaikolojia?

Na pia unatambua kwamba asilimia kubwa ya instigators wa domestic violence majumbani ni wanawake sababu ya midomo yao michafu?

Mimi nafikiri nyie watetezi wa wanawake kabla hamjaanza kuwahasa wanaume waache kupiga mwanamke, inatakiwa kwanza muwafundishe wajiepushe kuwa provoke wanaume kwa midomo yao michafu...
unachukua mwingine mwenye kauli safi
 
Back
Top Bottom