Shonza: Maafisa wa maendeleo ya Jamii siku hizi wamekuwa Maafisa mikopo. Kumekuwa na kesi nyingi za Ubakaji na Ulawiti wa Watoto

Eeh bwana admin kapita na comments zaidi ya 50 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Watu walitiririka kinoma..
 
Huyu juliana shonza ni muhitimu wa taasisi ya ustawi wa jamii pale kijitonyama kama sikorski.
Issue za watoto haipo kwa maafisa maeleo ya jamii zipo Ustawi wa jamii/social welfare not community devpt. Kutoa mikopo au kuisimamia mfno ya vijana ni kazi ya maendleo ya jamii ili kupunguza umasikini. Kabla hajakurupuka na kuongea kama HAYAWANI kwanza adurusu.
Sheria ya mtoto na 9 ya 2009.
Pia also.e na sheria ya ndoa ya 1971
Pia ajibu swali hili
Je hizo sheria zote zinatoa hasa ulinzi kamili wa mtoto hapa nchini?
Na he ustawi wa jamii ni kitengo kinachojitegemea hapa nchini? Kina bajeti/fungu la kufanya shughuli zake ikiwemo wataalamu wa kutosha?
Hawa wabunge sijui kama huwa wanatafsir kabla ya kusema au Bora liende nami nisikike!
 
Community Social Worker na Community Development Officer nadhani ni tu vyeo tuwili tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…