Inategemea ni backup ya nani.Diamond anaweza kuwa na Backup kuliko Manji?
KbsaaSerikali ya Tanzania na vyombo vyake(wizara,Basata, na TCRA) HAVINA MSAADA WOWOTE kwa wasanii, wamefight mpaka kufika hapo walipo, leo hii kijitu from no where kimepewa mamlaka kwa njia zisizofahamika nacho kinatafuta umaarufu kupitia wasanii waliopambana kwa nguvu zao na wanachangia pato kubwa la taifa pamoja na kutoa ajira. Nenda Kenya/South Diamond huko ndio kuna binadamu hapa Bongo Bahati mbaya *****.
Unajua maana ya hallelujah?Diamond angekaa kimya tu, hiyo nyimbo yake ya Haleluya imewasikitisha wakristo wengi sana, ni kwakua tu hawana utaratibu wa kulalama publicly ila umewakwaza watu wengi.
Shoza akatoe tafsiri ya kibamia.... Au mashine.Hivi Roma akienda mahakamani nini tafsri ya kibamia
Nimecheka sana hii commentDaimond alivo chiz achelew kusema au kwa sababu ajamkula ndo mana analeta zengwe
'Me' as Meku au?Mi me
Backup aliyonayo ni kubwa maana Bashite na Mkulu ni kama kidole na kuchaDiamond anaweza kuwa na Backup kuliko Manji?
Ataipeperusha shonza mwenyewehii ishu ya Dai na Shonza najiuliza ingelikuwa ni msani uchwara anaye jibizana naye si sasa hivi keshapakizwa kwenye Noa?? na dai akifungwa nani atapeperusha bendera huko wapi ah kule rashia ao bendera atapewa kiba100???
Jiulize kwanini mkulu alionya wasanii wakiume kutumia picha za utupu kwenye video zao?maana baada ya Magu kuongea speed ya fungia fungia ndo ilipoanza kama sikosei kipindi Mondi ana release video ya Waka.Magu aliona ile misambwanada ndani ya G strings.Backup aliyonayo ni kubwa maana Bashite na Mkulu ni kama kidole na kucha
hahahahaJaman sasa Roma kaimba hiphop ngum wakamteka kabadil gia kweny soft mapenz Kibamia...wamemfungia....kwel Bongo bahati mbaya
hawawezi manaake yeye babaake na mamaake hawawezi."Hatuwezi" we na nani?
Manaake Manji ndo kawa mbwaa sio??Ila kwenye hii vita Shonza atashinda mark my word, sababu Mkulu alishawahi kumuonya wazi Diamond lakini hakumtaja, alisema mtu ye anavaa vizuri mwanamke anamuweka uçhi, so kwa mawazo yangu ukichanganya na akili za Shonza naamini Shonza anafata maelekezo ya mkulu na nia ilikuwa kumprovoke Diamond awe mbogo , atoke nje ya mstari ili wamnyooshe, kwa inteview ile Diamond kaingia mtegoni, their soon going to take further actions against him and you will not believe.Unakumbuka siku Manji anamwita Makonda Umbwa ? What happened next?
hahahaAtaipeperusha shonza mwenyewe
Shonza kazi kwishaYaani hapo Shonza amekuwa mdogo kama pipi, ni watu ndo wameamua kumzungumzia maskini bongo hii!