mkuu mweyenye adabu
Member
- Mar 20, 2018
- 13
- 7
Tulishawambia wakimalizana na sisi wata deal na nyinyi au wasanii hamkuelewa vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhahah.....duuu kwa kweli mkuuTulishawambia wakimalizana na sisi wata deal na nyinyi au wasanii hamkuelewa vizuri
Na watanzania wengine wanaokitakia mema kizazi cha sasa na vijavyo."Hatuwezi" we na nani?
Tafuta sehemu nyingine tena nadhani nchi nyingine kusikilizia hiyo 'hovyo' yako. Serikali yetu pendwa kupitia mamlaka husika imeishatoa maelekezo juu ya nini cha kufanya kuhusu miziki ya 'hovyo'.Hio unayoiita 'hovyo' ndio tunayoikubali..
Wewe kama hupendi fyata mkia wako utulie
much love for inbaselKitendo cha kureact tu tayar kashajibu hoja... Much love for you naibu waziri
tuache ujinga jamani neno haleluya halimilikiwi na dini na maana yake ni sifa kwa mungu yaani kumtukuta kwa alichokifanyaDiamond angekaa kimya tu, hiyo nyimbo yake ya Haleluya imewasikitisha wakristo wengi sana, ni kwakua tu hawana utaratibu wa kulalama publicly ila umewakwaza watu wengi.
Umeongea point na ii inchi haijawah shinda kec kam izoWimbo kama ile bongo bahati mbaya jamaa akienda mahakamani anashinda kesi asubuhi tu kwakua hakuna nch inayoitwa bongo dunian
Kwa wote wawili, Diamond is of higher level as he has made life out of hard personal struggle and not like NW who has made fortune out of Usaliti kwa CDM.... and being awarded favour from "chakula cha wazee"Kufuatia mwanamuziki wa bongo fleva kumlalamikia Naibu Waziri wa sanaa kuwa hawatendei haki wasanii kwa kuwafungia bila utaratibu, NW huyo ameibuka na kusema serikali haiwezi kujibishana na mtu aina ya Dimond na kwahiyo apuuzwe. Source mcl digital!
Lets wait and see, cant use force to make you agree with me.Fallacy Prediction!
Kazi yangu itakuwa ni kukukumbusha mpaka mwisho wa hili game.Fallacy Prediction!
Diamond anaweza kuwa na Backup kuliko Manji?Ukiona Panya anamtania Paka, ujue shimo lake lipo jirani.
Sasa wengine wasiige anavyokunya huyo Tembo watapasuka.
Diamond ana backup, na huenda anaambiwa "mpashe huyo"
Mbona makanisani wanakata mauno mpaka nyyegee zinaonekana waziwazi awayafungii hayo makanisa na hizo kwayaAdabu muhimu...Imbeni mkijieshimu..