Native diaspora
JF-Expert Member
- Nov 19, 2020
- 265
- 458
- Thread starter
- #21
Leseni ninayo class D ila sho kaliHii Mpaka Awe Dereva Hawezi Kwenda Kuisoma Tu Mfano Hana Leseni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leseni ninayo class D ila sho kaliHii Mpaka Awe Dereva Hawezi Kwenda Kuisoma Tu Mfano Hana Leseni
Shukrani mkuuVeta Kasome Office Machines
Ama AC And Refrigerator
😜[emoji41]
💋❤Mimi hapa kipenz....short course yangu nipo kukusoma wewe na bado haijakamilika na ndiyo ninayoamini nitatobolea maisha
Unaweza Kuendesha Gari Manual Kama Tata Ama DCM,Leseni ninayo class D ila sho kali
Naweza mkuuUnaweza Kuendesha Gari Manual Kama Tata Ama DCM,
Nenda Hapo Na Cash UsomeNaweza mkuu
Nilikua mvuvi mwenye mafanikio kibiashara, mala viwanda vikafungwa fungwa, nikaibiwa nyavu pia na Machine zangu, nikaingia mjini nikazama kwenye magari, nikapiga course pale NIT, na nikawa Driver wa mashirika, japo kwa mbinde lakini mpaka leo hii nagonga Land Cruiser DFP toka 2009,na kazi hiyo ndo imenifanya kujenga, kununua usafiri tofauti tofauti, kulea familia yangu, full Michele na mikaa huko barabarani, watoto wanakua kwa uwezo wake JaaliyaWakuu, habari za muda na wakati huu.
Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa jalalani.
Nilikua napenda nijui ni short kozi gani ziliwafungulia milango ili na sisi wengine tupate kuokota mawili matatu.
Asante mkuu kila hatua duaNilikua mvuvi mwenye mafanikio kibiashara, mala viwanda vikafungwa fungwa, nikaibiwa nyavu pia na Machine zangu, nikaingia mjini nikazama kwenye magari, nikapiga course pale NIT, na nikawa Driver wa mashirika, japo kwa mbinde lakini mpaka leo hii nagonga Land Cruiser DFP toka 2009,na kazi hiyo ndo imeniganya kujenga, kununua usafiri tofauti tofauti, kulea familia yangu, full Michele na mikaa huko barabarani, watoto wanakua kwa uwezo wake Jaaliya
Maisha ni kuchagua na siyo muonekano kwa watu
Vijana tunajifunzaUzi huu unhekuwa mzuri sana,ila naona watoto tayari wamevamia
Watu wajinga, inakera sanaKuna watu ni wapuuzi sana wao kila mada wanaleta habari za mapenzi tena inawezekana ni watu wazima ila 24/7 wanawaza ujinga.
Mkuu MULTIMEDIA AU [emoji848] tupe madiniKuna course nilipata pale college of informatics UDOM, basi Kila sehemu nikionyesha lile gamba imoo[emoji23]
God is always Great [emoji120]
Ni gamba la chui nini?Kuna course nilipata pale college of informatics UDOM, basi Kila sehemu nikionyesha lile gamba imoo😂
God is always Great 🙏