Short course gani ilibadili maisha yako?

Short course gani ilibadili maisha yako?

Wakuu, habari za muda na wakati huu.

Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa jalalani.

Nilikua napenda nijui ni short kozi gani ziliwafungulia milango ili na sisi wengine tupate kuokota mawili matatu.
ASNT NDT Certificate level I na level II
 
Nilipata nafasi ya kupigwa msasa na Wahindi kwenye Cyber Security! Wakanichaji 560K! Aisee mpaka leo sijutii kusoma hii kitu! Ni moja ya kitu kimebadilisha maisha yangu kwa muda mfupi sana!
Wanapatikana wapi?
 
Acheni kudanganyana.....shoti kozi ya kubadili maisha.....ni kujifunza namna ya kuchukua hela kutoka mahali zilipoifadhiwa..........hapo maisha yatabadilika!!!
Mambo ya kusoma ni kupoteza mda na kuomba kuajiriwa ili muwe watumwa...!!!
Jifunzeni udukuzi wa pesa...!!
Kama taaluma inakulipa usiwaponde hustlers na kama hustles zinakulipa usiwaponde wenye taaluma, wote lengo lenu ni kufanikiwa
 
Kuna kitu nipo kwenye mchakato wa kukianza ingawa kwa Tanzania bado sana!
Ni kuhusu Scambaiter hawa wahuni wanaotusumbua wa kutuma kwenye namba hii nataka nianze kuwashughulikia bara-bara.
Nakazia man[emoji3]
 
Wakuu, habari za muda na wakati huu.

Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa jalalani.

Nilikua napenda nijui ni short kozi gani ziliwafungulia milango ili na sisi wengine tupate kuokota mawili matatu.
mortuary attendant ilibadili maisha ya jamaa yangu mmoja
 
Back
Top Bottom