Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ASNT NDT Certificate level I na level IIWakuu, habari za muda na wakati huu.
Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa jalalani.
Nilikua napenda nijui ni short kozi gani ziliwafungulia milango ili na sisi wengine tupate kuokota mawili matatu.
Nakubali mkuu, shukraniASNT NDT Certificate level I na level II
Learn to code with PhythonUkiwa programmer hiyo KAZI mtu ukijulikana kulaza laki 6,8 ni kawaida ni bonge la dili tatizo mtaji
Wanapatikana wapi?Nilipata nafasi ya kupigwa msasa na Wahindi kwenye Cyber Security! Wakanichaji 560K! Aisee mpaka leo sijutii kusoma hii kitu! Ni moja ya kitu kimebadilisha maisha yangu kwa muda mfupi sana!
Kama taaluma inakulipa usiwaponde hustlers na kama hustles zinakulipa usiwaponde wenye taaluma, wote lengo lenu ni kufanikiwaAcheni kudanganyana.....shoti kozi ya kubadili maisha.....ni kujifunza namna ya kuchukua hela kutoka mahali zilipoifadhiwa..........hapo maisha yatabadilika!!!
Mambo ya kusoma ni kupoteza mda na kuomba kuajiriwa ili muwe watumwa...!!!
Jifunzeni udukuzi wa pesa...!!
NakubaliKama taaluma inakulipa usiwaponde hustlers na kama hustles zinakulipa usiwaponde wenye taaluma, wote lengo lenu ni kufanikiwa
Kwa sasa nipo Iringa mkuu ila njoo PM tuyajengeWanapatikana wapi?
Itakusaidia kufundisha wananchuo kwenye research , hiyo data analysis inafundishika hata ndani ya masaa mawili tu wewe ulienda kusomea kwa muda ganiWakuu ivi Short course ya Data analysis SPSS STATA RA inamashiko kweli msaada kwa mjuzi
Shukrani mkuu nilipiga onlineItakusaidia kufundisha wananchuo kwenye research , hiyo data analysis inafundishika hata ndani ya masaa mawili tu wewe ulienda kusomea kwa muda gani
Hakika mzeeUzi mzuri sana
Naam mkuu inapendeza kutoa maelekezo kama hivoKwa sasa nipo Iringa mkuu ila njoo PM tuyajenge
Kuna kitu nipo kwenye mchakato wa kukianza ingawa kwa Tanzania bado sana!Naam mkuu inapendeza kutoa maelekezo kama hivo
Nakazia man[emoji3]Kuna kitu nipo kwenye mchakato wa kukianza ingawa kwa Tanzania bado sana!
Ni kuhusu Scambaiter hawa wahuni wanaotusumbua wa kutuma kwenye namba hii nataka nianze kuwashughulikia bara-bara.
mortuary attendant ilibadili maisha ya jamaa yangu mmojaWakuu, habari za muda na wakati huu.
Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa jalalani.
Nilikua napenda nijui ni short kozi gani ziliwafungulia milango ili na sisi wengine tupate kuokota mawili matatu.
Daah iyo mbanga inaposho za kutosha askwambie mtumortuary attendant ilibadili maisha ya jamaa yangu mmoja
Hii inatolewa chuo kipi mkuu na sifa kwa mhusika awenazo zipiCyber security