Ni kweli kabisa mkuu. Asilimia kubwa watu wa aina hiyo huweka historia badala ya kumbukumbu...Kuna mtu Arusha alikuwa anaitwa askofu.. Anasimama kwenye kiambaza cha ghorofa lake kisha anamwaga pesa chini watu wanagombea.. Alikufa maskini
Ili baadae ukileta kelele alete picha wakati wanaangalia movie alone, kweye viambata vya makasri yao makubwa, kama PDD. Kuna ujinga wa madogo wengi kuwa hela ili uzipate ruksa kufanya chochote, hata kuuza utu na thamani yako.Hivi mwanaume unayejiita tajiri unapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako🤔🙇🏿♂😀... Ah basi sawa.. Na pesa ya bata..🥺 Huku si kuhongwa kabisa kama demu!🙌🏿🙌🏿🙌🏿🏃🏿
Tafuta hela masikini wewe njaa inakusumbua
Naskia petrol ⛽ station zote mbili aliwajazia boda to boda wa DSM mafuta, huo mziki utauweza mkuu ☺️☺️Hela zake ziko sehemu gani? Kujazia bodaboda mafuta?😂😂😂😂😂
Ila kuna thread za kutosha humu jf zinasema, ukienda dar lazima utoboe maisha 😁😁😁Dar imebadilika sana
Masikini wamekuwa wengi sana kiasi mtu hata akiwa na hela kidogo anaonekana mungu mtu
Naskia petrol ⛽ station zote mbili aliwajazia boda to boda wa DSM mafuta, huo mziki utauweza mkuu ☺️☺️
Sawa mkuu, karibu tunywe chai ya Tangawizi na kashata mbili tatu.Mziki gani? Standard ya kuwa tajiri ni kujaza bodaboda kwenye vituo vya mafuta? Kila siku au itakuwa kwa muda gani?
Huko ni kutafuta attention tu. Na wengi wanaofanya hivyo hawana kitu ila ili wapate uhalali kwamba wana pesa wanafanya matukio kama hayo. Yeye sio wa kwanza. Siku za karibuni kuna mtu anaitwa Mr. Mapig. Mwingine sijui nani yule...angalia kwa undani utagundua kuna ombwe.
Hela hazihitaji kelele. Zinajieleza. halafu, wenye hela huwa hawana mbwembwe. Ni wa kawaida sana na hawataki attention za kijinga kijinga
Tafuta hela masikini wewe kama ni rahisi na wewe fanya maana hujakatazwa ila unachuki ambazo Kwa masikini ni kawaida yenuSio kila mtu ana thamani ya bodaboda unaowajazia mafuta na kuwadanganya wewe tajiri... 😂 😂 😂 😂
Acha makasiriko kenge wee!! Tafuta hela uone kama utakaa tu chumbani umejifungia mswahili wewe,sisi sio wahindi na waarabu uliowataja hapo juu. Mswahili una hela alafu ujifiche unamwogopa nani? FAMASIHARA NINI?Lugumi na Chief Godlove na wengine wote wenye show off ni washamba tu
Hakuna bilionea mwenye mambo za kisenge kama hizo
Huwezi kukuta mtu kama Dangote au Mo akawa na upumbavu kama wa akina Lugumi na Godlove
Mshana huwa unaona jambo kwa mtazomo mwingine ambao ni uhalisia, bravo brother.Maslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni..
Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake
Utajiri una level zake
Utajiri ngazi ya kijiji/kata
Utajiri ngazi ya Wilaya
Utajiri ngazi ya mkoa/kanda
Utajiri ngazi ya Taifa
Utajiri ngazi ya bara
Utajiri ngazi ya dunia
Kilichotokea kwa Lugumi na kijana anayetamba ana utajiri mkubwa bwana chief Godlove.. Ni fedheha na aibu kwa kijana huyo.
Lugumi alichofanya ni kumtusi kwa vitendo na kumdhalilisha hadharani. Kijana chief Godlove anachonga sana mitaani na mitandaoni akijinasibu kwamba yeye ni tajiri sana
Ana show off nyingi za magari yake kama matank hivi mitumba ambayo kwa pamoja thamani yake haifiki ama haizidi milion mia tatu.. Mabunda ya pesa anayoonyesha ni hizi pesa zetu tunazoziita za Madafu zisizozidi million 50.. Hana uwezo wa kuonesha walau dola laki moja tuu..!
Kwenye video inayotrend mitandaoni inamuonesha wakati akiagana na mwenyeji wake kisha matusi yakaanza
1. Moja akapelekwa kwenye show room ambayo imepaki ndinga mpya na za hadhi ya juu tupu.. Mojawapo ya ndinga mwenyeji wake aliyoiita uchafu haipungui milion 150.. Na inathamani ya magari zaidi ya matatu ya CGL. Show room hiyo ni safi na ya gharama na kimefungwa viyoyozi na vioo na aluminium..!
2. Kitendo cha kupewa marashi lilikuwa ni tusi baya. Mwanaume utapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako!? Ni aidha ana lake jambo ama ulipofika kwake alikuona unanuka kikwapa.. Ama vinginevyo visivyosemwa..
Kwa ulimbukeni CGL aliifungua palepale na kujipuliza huku akiisifia sana!😂
3. Kitendo cha kupewa bunda la pesa kama 5M hivi .. Nacho kilikuwa dhihaka na tusi kubwa.. Wanaume huwa tunasaidiana lakini sio kwa mazingira yale yaliyokaa kama kuhongwa..!
Kwa utajiri anaojinasibu nao CGL mitandaoni alipaswa pale aoneshe mkataba ama mikataba ya dili ya pesa ndefu na connection za pesa na sio vipesa na manukato..
Pengine Lugumi hakutaka chochote kijulikane lakini mwana alipoenda na Cameraman.. Bila kujua ametufunulia mengi kuhusu anachoita utajiri wake
Acha makasiriko kenge wee!! Tafuta hela uone kama utakaa tu chumbani umejifungia mswahili wewe,sisi sio wahindi na waarabu uliowataja hapo juu. Mswahili una hela alafu ujifiche unamwogopa nani? FAMASIHARA NINI?
Anaenda na upepo asije akasahaulika...Bwashee na wewe unaandika udaku.
Naomba nikurekebishe kidogo, hilo Land Cruiser aliloita uchafu thamani yake ni around $146,000 kwa sasa. Hii hela ni equivalent na TZS 400 millions za madafu kabla ya kodi. Hii pesa inanunua msafara wa gari zote za chief Godlove na chenchi inabakia.Maslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni..
Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake
Utajiri una level zake
Utajiri ngazi ya kijiji/kata
Utajiri ngazi ya Wilaya
Utajiri ngazi ya mkoa/kanda
Utajiri ngazi ya Taifa
Utajiri ngazi ya bara
Utajiri ngazi ya dunia
Kilichotokea kwa Lugumi na kijana anayetamba ana utajiri mkubwa bwana chief Godlove.. Ni fedheha na aibu kwa kijana huyo.
Lugumi alichofanya ni kumtusi kwa vitendo na kumdhalilisha hadharani. Kijana chief Godlove anachonga sana mitaani na mitandaoni akijinasibu kwamba yeye ni tajiri sana
Ana show off nyingi za magari yake kama matank hivi mitumba ambayo kwa pamoja thamani yake haifiki ama haizidi milion mia tatu.. Mabunda ya pesa anayoonyesha ni hizi pesa zetu tunazoziita za Madafu zisizozidi million 50.. Hana uwezo wa kuonesha walau dola laki moja tuu..!
Kwenye video inayotrend mitandaoni inamuonesha wakati akiagana na mwenyeji wake kisha matusi yakaanza
1. Moja akapelekwa kwenye show room ambayo imepaki ndinga mpya na za hadhi ya juu tupu.. Mojawapo ya ndinga mwenyeji wake aliyoiita uchafu haipungui milion 150.. Na inathamani ya magari zaidi ya matatu ya CGL. Show room hiyo ni safi na ya gharama na kimefungwa viyoyozi na vioo na aluminium..!
2. Kitendo cha kupewa marashi lilikuwa ni tusi baya. Mwanaume utapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako!? Ni aidha ana lake jambo ama ulipofika kwake alikuona unanuka kikwapa.. Ama vinginevyo visivyosemwa..
Kwa ulimbukeni CGL aliifungua palepale na kujipuliza huku akiisifia sana!😂
3. Kitendo cha kupewa bunda la pesa kama 5M hivi .. Nacho kilikuwa dhihaka na tusi kubwa.. Wanaume huwa tunasaidiana lakini sio kwa mazingira yale yaliyokaa kama kuhongwa..!
Kwa utajiri anaojinasibu nao CGL mitandaoni alipaswa pale aoneshe mkataba ama mikataba ya dili ya pesa ndefu na connection za pesa na sio vipesa na manukato..
Pengine Lugumi hakutaka chochote kijulikane lakini mwana alipoenda na Cameraman.. Bila kujua ametufunulia mengi kuhusu anachoita utajiri wake