Show ya Alikiba South Africa, iwe funzo kwa wasanii wa Bongo fleva

Show ya Alikiba South Africa, iwe funzo kwa wasanii wa Bongo fleva

Mnashindwa kuelewa tu kiba kinachomsaidia ni bifu tu na mondi
Namshauri asitowi nyimbo kwajili ya kupambana na mwenzie atafeli
 
shida ya huyo dogo kiba anajifanya anaweza sana na kumdharau mwenzie akidai yeye anatusua et bila collabo ya nje....sijui nani anamjaza huu ujinga masikin.....angekua mond hyo show hata kama wangekua wachache lakini sio kama hao wanaohesabika.....
 
Acha, kupotosha ww mondi kaenda Malawi kajaza fukwe
Kaenda visiwa vile kajaza kaenda Zambia kajaza ww unakuja na ngojera zako hapa

[emoji23][emoji23][emoji23] hizi zako ndio ngonjera sasa,weka One Man Show hapa ubaoni tuone alafu hata aibu hatuoni wa Tz msanii ambae anatubeba Tz Diamond tunavimba alafu unataja show 3 tu tena hauna uhakika unadhani wenzetu wakiamua kuzipanga za akina Davido,StarBoi etc wanapata shida ivi.
Tuna wasanii wenye vipaji ila sisi wenyewe washabiki ndio tunawakandamiza kwa unafiki narudia tena wasanii wetu bado hawana ubavu wa kusimama wenyewe kwenye kufanya show kama show wakitoka nje EA mostly wanafanana tofaouti ni ndogo na wachawi ni sisi wenyewe ndio maana tamasha kama Fiesta tunamleta mediocre artist kama Tekno ni upuuzi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hizi zako ndio ngonjera sasa,weka One Man Show hapa ubaoni tuone alafu hata aibu hatuoni wa Tz msanii ambae anatubeba Tz Diamond tunavimba alafu unataja show 3 tu tena hauna uhakika unadhani wenzetu wakiamua kuzipanga za akina Davido,StarBoi etc wanapata shida ivi.
Tuna wasanii wenye vipaji ila sisi wenyewe washabiki ndio tunawakandamiza kwa unafiki narudia tena wasanii wetu bado hawana ubavu wa kusimama wenyewe kwenye kufanya show kama show wakitoka nje EA mostly wanafanana tofaouti ni ndogo na wachawi ni sisi wenyewe ndio maana tamasha kama Fiesta tunamleta mediocre artist kama Tekno ni upuuzi.
Mbona unaleta mambo ya davido nikuambie tu diamond ni mkubwa kwa sasa kuliko huyo davido tecno n.k niambie davido kwasasa anamshinda nn mondi
 
Jana nyota wa Tanzania na Mshindi wa MTV EMA african act 2016 Alikiba alianza world Tour yake kwa showJijini Durban South Africa.
Kiwango cha idadi ya watu waliojitokeza na ukumbi aliofanyia show inathibitisha kabisa mziki wa bongo flava bado unasafari ndefu kutoboa kimataifa hasa nje ya east africa
Collabo no njia mojawapo ya kutoa kwenye ngumu kama south africa na Nigeria japo Luna baadhi ya mashabiki wanazibeza.
Sasa kama Alikiba na ukubwa wake huo amepata idadi hiyo ya watu , billnass, baraka da price au timbulo atapata watu wangapi?
Wakati chipukizi wa Nigeria Tekno akija bongo ndo main Artist.
Jionee picha za jana jijini Durban
View attachment 471918
View attachment 471919

Alipiga kwenye jukwaa au vibaa vyake kama vile vya Dodoma?
Huyu bwana inampasa kurudi chini na kuwa mdogo tu na aanze upya, anakokwenda hata wakina Mavoko, Rayvan watampita, na hizo tour zake alizozopanga bora azifute na aanze kujipanga upya
 
Watu wanambeza Ali Kiba hi hali wao hawajawahi kuhamasisha watu zaidi 100 kuwasikiliza!. Huo ni upumbavu jibeze kwanza wewe ndio afuate Ali King Kiba!
 
Wale walikuja kucheki mpira changanya na waliyokuja bar kiba akaona hapa najichanganya na mm nipige show hiv kuna msanii anapiga show na mpira upo live wale ni mashabiki wa mpira
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Mpira unavuta RAIA sema kuchanganya Mpira na show ya music in kukosa userious kwenye kazi
 
Mbona unaleta mambo ya davido nikuambie tu diamond ni mkubwa kwa sasa kuliko huyo davido tecno n.k niambie davido kwasasa anamshinda nn mondi

[emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndipo tunapoenda chaka kujiaminisha kua tumewazidi wakati tunategemea watushike mkono ili kufikia malengo,beats ni asili ya kwao,collabo tunategemea kwao,video directors tunawatumia wa kwao lakini tunavimba duh bado safari ni ndefu sana labda hautaki kunielewa nimesema kua tuna wasanii wazuri ila tatizo ni sisi mashabiki ebu jiulize tamasha kama la Fiesta kulikua na sababu gani kumleta na kumlipa Tekno mpunga mrefu kama msanii maalumu toka nje wakati tuna vipaji ambavyo uyo Tekno hawezi hata kuvigusa.
 
Back
Top Bottom