🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Spartacus the mnyama mkali kwenye ubora wako..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Spartacus the mnyama mkali kwenye ubora wako..
Kila siku namuomba Robidinyo aniunge uko nikachungulie waga wana post nn 😁😁😁the mnyama mkali hatakiHujasahau na wewe 😂😂😂😂
Kwan nmebisha mkuu?..msanii mkubwa Africa kafanya show ya kiwango cha chini mno asa mnalalamika nini..MTV ndio washa mweka sasa ktk list.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Utakuta anayesema Hivi anakaa, kula, kulala kwa shemeji yake
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Yeye si binadamu kwani akosei? Mbona wewe unakosea Mara kibao na Nandy ajawahi kukushangaaKwan nmebisha mkuu?..msanii mkubwa Africa kafanya show ya kiwango cha chini mno asa mnalalamika nini..
Jamaa kaona isiwe kesi,Kiki Hakuna Kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu
View attachment 1459491
Sasa muelewe akili ya mtu mnaejibizana nae hapaNyie Guruguja sikilizeni Kwenye list iliyokua Imepitishwa Jina la Diamond na Nandy hayakuwemo, Wasanii waliokua Wamechaguliwa ni Alikiba na Harmonize
Baada ya Jamaa wa Wcb kusikia Huu Mchongo Jamaa wakazunguka Wakatoa Mpunga mrefu majina ya awali yakachomolewa na kupachika la Chibunye na Nandy..
Kaeni Kitaalamu Acheni kukaa kipimbi
Mhhhhhh Kingereza kwako kigumu.
🤣🤣🤣.
Hiyo show wamechaguliwa wasanii wakubwa wanao fanya vizuri ktk music industry ya Africa kwa ajili ya kuchangisha hela kwa waathirika wa Covid19 ina lenga watoto wa Africa.
Dah kweli leo ndio nimekuelewa vizuri,yaani unamchukia mtu mpaka sehemu zisizohusika,yaani wewe ukiambiwa umtengenezee sumu Diamond kwa jinsi ulivyo na roho mbaya utaionja kwanza alafu utampa.
Soma post hizo uzielewe na si kukurupuka.
Leta ushahidi......Nyie Guruguja sikilizeni Kwenye list iliyokua Imepitishwa Jina la Diamond na Nandy hayakuwemo, Wasanii waliokua Wamechaguliwa ni Alikiba na Harmonize
Baada ya Jamaa wa Wcb kusikia Huu Mchongo Jamaa wakazunguka Wakatoa Mpunga mrefu majina ya awali yakachomolewa na kupachika la Chibunye na Nandy..
Kaeni Kitaalamu Acheni kukaa kipimbi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Au sio?Yeye si binadamu kwani akosei? Mbona wewe unakosea Mara kibao na Nandy ajawahi kukushangaa
Azam TV walinunua haki ya kuonesha HARUSI ya bwana mkubwa tunakumbuka