Show ya Harmonize Yanga Day

Show ya Harmonize Yanga Day

Show yake ilikuwa mbovu ukiachana na tukio Hilo sauti Ni tatizo Sana nililoliona
 
Tuelewane kidogo
IMG_20200830_222753.jpg
 
Kwahiyo utaweza kutua umesimama ?
Acheni hizo like begi ni la kazi gani mgongoni unafikiri lazima utue mgongo au matako
 
Me ni mshabiki wa simba tena Simba wote wawili yani timu ya mpira na raisi wa muziki wa Tz ila kwa alichofanya Konde tumpongeze. Kwanza me kipindi cha shoo ya Chibu simba day nilijuwa kazi kwisha baada ya kushuka na Chopa ko nilvyoskia Uto wanamualika Harmo nilikuwa najiuliza kitu gani atafanya cha tofauti?. Na jana alivyoshuka na helicopter ndo nikajua ataingia nayo leo ko me macho yote ilikuwa kuangalia ataingiaje uwanjani tu! ..ko kwa alichofanya ametu surprise wengi Hongera zake. Afu mtoa mada anasema "hata ajashangiliwa " duh! Kweli? Jamani mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni tuachane na chuki binafsi tujivunie kupata wasanii wabunifu kama Mond na Harmo wanachangamsha sana nchi

Sasa unampongeza badala ya kumpa pole kwa kudondoka we vipi?
 
Me ni mshabiki wa simba tena Simba wote wawili yani timu ya mpira na raisi wa muziki wa Tz ila kwa alichofanya Konde tumpongeze. Kwanza me kipindi cha shoo ya Chibu simba day nilijuwa kazi kwisha baada ya kushuka na Chopa ko nilvyoskia Uto wanamualika Harmo nilikuwa najiuliza kitu gani atafanya cha tofauti?. Na jana alivyoshuka na helicopter ndo nikajua ataingia nayo leo ko me macho yote ilikuwa kuangalia ataingiaje uwanjani tu! ..ko kwa alichofanya ametu surprise wengi Hongera zake. Afu mtoa mada anasema "hata ajashangiliwa " duh! Kweli? Jamani mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni tuachane na chuki binafsi tujivunie kupata wasanii wabunifu kama Mond na Harmo wanachangamsha sana nchi
Andikakiswahili fasaha bwana!!Ko=Kwahiyo
 
Me ni mshabiki wa simba tena Simba wote wawili yani timu ya mpira na raisi wa muziki wa Tz ila kwa alichofanya Konde tumpongeze. Kwanza me kipindi cha shoo ya Chibu simba day nilijuwa kazi kwisha baada ya kushuka na Chopa ko nilvyoskia Uto wanamualika Harmo nilikuwa najiuliza kitu gani atafanya cha tofauti?. Na jana alivyoshuka na helicopter ndo nikajua ataingia nayo leo ko me macho yote ilikuwa kuangalia ataingiaje uwanjani tu! ..ko kwa alichofanya ametu surprise wengi Hongera zake. Afu mtoa mada anasema "hata ajashangiliwa " duh! Kweli? Jamani mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni tuachane na chuki binafsi tujivunie kupata wasanii wabunifu kama Mond na Harmo wanachangamsha sana nchi
mimi nashangaaga hivi kwanini tunawachukia vijana wetu jamani
hatuoni aibu[emoji22] Diamond & Harmo nk wanafanya kazi sana, wanatafuta mkate wao wa kila siku ni sapoti inahitajika sio chuki binafsi
 
Konde boy A.k.A Jeshi m, ashasema hanaga pigo za kirembo
 
ubunifu unaruhusiwa lakini siku nyingne afanye rehersal za kutosha kuhusiana na Kamba husika au njia husika ya kuja nayo uwanjani.......nilikuwa muoga sana je angetoka tangu kule juu ingekuwaje si na sherehe ingeishia hapohapo
 
Me ni mshabiki wa simba tena Simba wote wawili yani timu ya mpira na raisi wa muziki wa Tz ila kwa alichofanya Konde tumpongeze. Kwanza me kipindi cha shoo ya Chibu simba day nilijuwa kazi kwisha baada ya kushuka na Chopa ko nilvyoskia Uto wanamualika Harmo nilikuwa najiuliza kitu gani atafanya cha tofauti?. Na jana alivyoshuka na helicopter ndo nikajua ataingia nayo leo ko me macho yote ilikuwa kuangalia ataingiaje uwanjani tu! ..ko kwa alichofanya ametu surprise wengi Hongera zake. Afu mtoa mada anasema "hata ajashangiliwa " duh! Kweli? Jamani mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni tuachane na chuki binafsi tujivunie kupata wasanii wabunifu kama Mond na Harmo wanachangamsha sana nchi
Hakuna Cha harmonize wala nini hapa ni DIAMOND TU NA RAYVANNY OVA
 
Back
Top Bottom