Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ukianguka kwa kishindo.sauti inakaukaShow yake ilikuwa mbovu ukiachana na tukio Hilo sauti Ni tatizo Sana nililoliona
Me ni mshabiki wa simba tena Simba wote wawili yani timu ya mpira na raisi wa muziki wa Tz ila kwa alichofanya Konde tumpongeze. Kwanza me kipindi cha shoo ya Chibu simba day nilijuwa kazi kwisha baada ya kushuka na Chopa ko nilvyoskia Uto wanamualika Harmo nilikuwa najiuliza kitu gani atafanya cha tofauti?. Na jana alivyoshuka na helicopter ndo nikajua ataingia nayo leo ko me macho yote ilikuwa kuangalia ataingiaje uwanjani tu! ..ko kwa alichofanya ametu surprise wengi Hongera zake. Afu mtoa mada anasema "hata ajashangiliwa " duh! Kweli? Jamani mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni tuachane na chuki binafsi tujivunie kupata wasanii wabunifu kama Mond na Harmo wanachangamsha sana nchi
Andikakiswahili fasaha bwana!!Ko=KwahiyoMe ni mshabiki wa simba tena Simba wote wawili yani timu ya mpira na raisi wa muziki wa Tz ila kwa alichofanya Konde tumpongeze. Kwanza me kipindi cha shoo ya Chibu simba day nilijuwa kazi kwisha baada ya kushuka na Chopa ko nilvyoskia Uto wanamualika Harmo nilikuwa najiuliza kitu gani atafanya cha tofauti?. Na jana alivyoshuka na helicopter ndo nikajua ataingia nayo leo ko me macho yote ilikuwa kuangalia ataingiaje uwanjani tu! ..ko kwa alichofanya ametu surprise wengi Hongera zake. Afu mtoa mada anasema "hata ajashangiliwa " duh! Kweli? Jamani mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni tuachane na chuki binafsi tujivunie kupata wasanii wabunifu kama Mond na Harmo wanachangamsha sana nchi
mimi nashangaaga hivi kwanini tunawachukia vijana wetu jamaniMe ni mshabiki wa simba tena Simba wote wawili yani timu ya mpira na raisi wa muziki wa Tz ila kwa alichofanya Konde tumpongeze. Kwanza me kipindi cha shoo ya Chibu simba day nilijuwa kazi kwisha baada ya kushuka na Chopa ko nilvyoskia Uto wanamualika Harmo nilikuwa najiuliza kitu gani atafanya cha tofauti?. Na jana alivyoshuka na helicopter ndo nikajua ataingia nayo leo ko me macho yote ilikuwa kuangalia ataingiaje uwanjani tu! ..ko kwa alichofanya ametu surprise wengi Hongera zake. Afu mtoa mada anasema "hata ajashangiliwa " duh! Kweli? Jamani mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni tuachane na chuki binafsi tujivunie kupata wasanii wabunifu kama Mond na Harmo wanachangamsha sana nchi
mi pia nashangaaBongo nyoso sana mkuu,actually ile kwanza sio kuanguka kama wanavyosema ila ndo ilitakiwa ashuke vile kutoka juu kwenye kamba,hebu fikiria angeshukaje kama sio kwa style ile??
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
show aliyofanya Mondi ya CCM pamoja na Kiba daah!, siku ile niliona utofauti wa Kiba na Mondi, nikaelewa kwanini Kiba anajiita King,Talent beats everythingShow yake ilikuwa mbovu ukiachana na tukio Hilo sauti Ni tatizo Sana nililoliona
na madaktari unadhani watakuwepo basi huko muhimbili???wako Dodoma jamhuri kwenye kampeniKataka kuharibu show pale alivoanguka
na show yetu ya yanga angeharibu mbwa yuleKonde boy angeingia tu kawaida,sio lazima uwe tofauti saana,sasa kaanguka kutoka kwenye kamba mpaka chini,bila begi la mgongongoni angeumia mgongo au kiuno.
asije akajikuta siku nyngne yuko MOIKonde boy A.k.A Jeshi m, ashasema hanaga pigo za kirembo
UMAARUFU UTAWATOKEA PUANI NA HAO MBWANaona kondeboy kafanya ujinga ule ule wa kiCCM kuharibu shughuli za watu kwa mbwembwe za mwaka 1947.
Efforts beat everything square DIAMOND BABA LAOshow aliyofanya Mondi ya CCM pamoja na Kiba daah!, siku ile niliona utofauti wa Kiba na Mondi, nikaelewa kwanini Kiba anajiita King,Talent beats everything
Hakuna Cha harmonize wala nini hapa ni DIAMOND TU NA RAYVANNY OVAMe ni mshabiki wa simba tena Simba wote wawili yani timu ya mpira na raisi wa muziki wa Tz ila kwa alichofanya Konde tumpongeze. Kwanza me kipindi cha shoo ya Chibu simba day nilijuwa kazi kwisha baada ya kushuka na Chopa ko nilvyoskia Uto wanamualika Harmo nilikuwa najiuliza kitu gani atafanya cha tofauti?. Na jana alivyoshuka na helicopter ndo nikajua ataingia nayo leo ko me macho yote ilikuwa kuangalia ataingiaje uwanjani tu! ..ko kwa alichofanya ametu surprise wengi Hongera zake. Afu mtoa mada anasema "hata ajashangiliwa " duh! Kweli? Jamani mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni tuachane na chuki binafsi tujivunie kupata wasanii wabunifu kama Mond na Harmo wanachangamsha sana nchi
Kalale dogo DIAMOND BABA YAKOMbona keshampindua...Au unasubiri mpaka utangaziwe?