Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Tunamshauri aache sifa za kijinga sawamichael jackson alipata ajali wakati anatengeneza tangazo la Pepsi akaungua moto lakini wazungu hawakumcheka walimuulumia,hapa Harmonize mnamcheka na kumkejeli!!!
