Papaa Azonto
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 319
- 277
usimfananishe huyo kahaba mwenye kiwango na show yake na salama anaejielewa utapata dhambi
mkasi kina nafuu mara buku 7, yaaani nimecheka,ngeli ya kuunga unga,umarekani mwiiiingi, code mixing na code swiching za kufa mtu, ha haa, ni ya kitoto bora kukaA na kuangalia KIRIKOU kuliko hii show,poor creativity,pyuuuuu!
over
Mimi hizi tv za Tanzania mimi huwa naangalia taarifa za habari tu basi labda na comedy tu, mengine uzushi mtupu.
Tv za nje unaangaliaga nini?
Dstv will never boring you.
Tv za nje unaangaliaga nini?