Papaa Azonto
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 319
- 277
Nashindwa kuelewa hii show ya Wema sepetu! Kipndi kipokipo tuh, alafu hao watu wa TX, I mean wanaorusha matangazo wa hapo studio wanakata kata kwa kuingiza matangazo bila hata mpngilio!
Kipndi hakina ubunifu kabisaah ni kama kipnd cha mkasi tuh! Too bored! Alafu kujifanya wanajua kiingereza adi tunapata taabu kuwa wakaliman kwa kuwatafsria watu, wema tunajua wajua lugha ebu ongea kiswahili fasaha bana!
Kipndi hakina ubunifu kabisaah ni kama kipnd cha mkasi tuh! Too bored! Alafu kujifanya wanajua kiingereza adi tunapata taabu kuwa wakaliman kwa kuwatafsria watu, wema tunajua wajua lugha ebu ongea kiswahili fasaha bana!