Kwa music upi wa Zuchu wakujaza Watu kwenye show? Hiyo kudandiana na Diamond au Sukari na nakupenda Mimi!;Arudi tu aje atuimbie huku Buza Kwa lulenge.Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo
View attachment 2421250
Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia
Kwani mkuu shida ni nini?Hata apige Show 100000 .. Asilimia kubwa zinaenda kwa Boss wake... Yeye anabaki na Hela za Kula na Kulala
Wasanii wa Wasafi Hakuna Wanaojitamba Kumiliki Vitu vyao Zaidi ya Kumilikishwa tu na Wasafi na Wajitoa wanaanza Upya
😂😂😂Mwanzo nlijua kifaransaAsikate tamaa japo hiyo English yake kwenye post imeniacha hoi bin taaban
Kingereza mbuziAsikate tamaa japo hiyo English yake kwenye post imeniacha hoi bin taaban
Chibu nae kwa mizoga hajambo. Hv kampendea nn huyu kiumbe?inawezekana 100% hakuitangaza vizuri show yake kama wenzie wanavyofanya. wenzetu wanaija wakienda ughaibuni wanapromote sana shows zao kwenye billiboards na radios za majiji ya kule.
btw zuchu hana sauti hiyo ya kusema wazungu wajae wamtazame.
Wanachaji malipo makubwa ili itoshe kulipa mshahara kina mkubwa fela, tale nk plus 60% ya Asake wa Tandale.Anaacha kupiga shoo hukj Mtwara, Lindi, Manyara, Ruvuma, Songwe nk ambako anafahamika na kukubalika vyema halafu anakwenda huko Marekani ambako hawana shobo naye, show idode halafu ashangae.
Atulie sasa.