Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa hivyo wangerudi nyumbani wakaachana na mechiNinaamini hata akina mbape, dembele n.k wanatamani kumuona Messi akinyanyua hii ndoo.
mimi sijaelewa jamani Morocco walimbagua nani?Tumekuwa na wakati mzuri sana kuangalia kombe la dunia na sasa tunakaribia kufika mwisho. Kila timu imevuna ilichopanda. Argentina ndio timu bora zaidi kwenye michuano hii.
Lionel Messi anaenda kuwa kinara baada ya mchezo mkali dhidi ya Ufaransa. Atastaafu kwa heshima kama mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea katika historia ya mpira wa miguu.
Nafasi ya tatu nampa Croatia na pongezi za pekee kwa Morocco kuweza kufika nusu fainali. Hawa wajifunze kuepuka ubaguzi ili miaka ijayo wafike mbali zaidi.
Ticket iliyowapeleka huko WC ni ya wapi kama si Africa ?! Wangeenda kwa Ticket ya bara Asia nani angewa mind ?.mimi sijaelewa jamani Morocco walimbagua nani?
je siyo kweli kwamba wao siyo waafrica?
je siyo kweli kwamba 90% ya raiya wa moroko ni waislam?
Tusikasirike, tuandae timu za kuweza kushindana na morocco
laana la kuku halimpati mwewe. tuandae vya kwetu mkuuTicket iliyowapeleka huko WC ni ya wapi kama si Africa ?! Wangeenda kwa Ticket ya bara Asia nani angewa mind ?.
Timu za Africa nyingi zinailemea hiyo Morocco. Na wao wanajua
Umewahi kusikia Brazil wakisema huu ushindi ni wa Brazil, Latin America na wakatoliki? Hawatamki hivyo kwasababu mashabiki wake wapo dunia nzima na wana asili mbalimbali na itikadi tofauti.mimi sijaelewa jamani Morocco walimbagua nani?
je siyo kweli kwamba wao siyo waafrica?
je siyo kweli kwamba 90% ya raiya wa moroko ni waislam?
Dogo hebu soma nyuzi nilizoanzisha tangu kombe la dunia lianze.Basi kubahatisha matokea siku moja tayari umeshakuwa sheh yahya.
Hivi ulishawahi kujiuliza kwann Argentina hakuna watu weusi? yaani nchi inapakana na nchi zenye watu weusi halafu kwao hamna weusi ni 0.37% tu ya watu weusi, kama hampendi ubaguzi mbona hata jezi zao zipo madukani na watu wananunua?Umewahi kusikia Brazil wakisema huu ushindi ni wa Brazil, Latin America na wakatoliki? Hawatamki hivyo kwasababu mashabiki wake wapo dunia nzima na wana asili mbalimbali na itikadi tofauti.
Mpaka hapo utakuwa umeelewa.
Hatuwezi kushabikia mpira kwa kuangalia historia kwasababu hata uingereza ligi yao tutatakiwa kuiacha.Hivi ulishawahi kujiuliza kwann Argentina hakuna watu weusi? yaani nchi inapakana na nchi zenye watu weusi halafu kwao hamna weusi ni 0.37% tu ya watu weusi, kama hampendi ubaguzi mbona hata jezi zao zipo madukani na watu wananunua?
Argentina wanachinja watu weusi kabisa na tunawashabikia, sembuse waarabu tena waliozaliwa na kukulia ulaya wakijiita Wamorocco?
Soma historia ya Argentina na watu weusi
Ulikuwepo wakati wanaomba? Au ndio hisia tuWafaransa wagumu Sana, hakuna mwenye uhakika Nani atakuwa bingwa...wao Argentina walikuwa wanaomba Morocco ashinde jana
Mbona moroko hamna wazungu wakati imepakana na hispania kabisa?Hivi ulishawahi kujiuliza kwann Argentina hakuna watu weusi? yaani nchi inapakana na nchi zenye watu weusi halafu kwao hamna weusi ni 0.37% tu ya watu weusi, kama hampendi ubaguzi mbona hata jezi zao zipo madukani na watu wananunua?
Argentina wanachinja watu weusi kabisa na tunawashabikia, sembuse waarabu tena waliozaliwa na kukulia ulaya wakijiita Wamorocco?
Soma historia ya Argentina na watu weusi
Huyo jamaa hakabiki.France ni kumkaba Messi tu, kazi yao kubwa ipo hapa. Hakuna kazi nyingine kubwa kwao zaidi ya hii. Na ili ufanikishe hili walau uwe na viungo wakabaji wenye mapafu ya punda kama Ngolo Kante, Kroos n.k
Sioni namna France wanavyoweza kumzima Messi pale kati. Yule dogo Alvarez ni moto mwingine, huyu Varane aliyeanza kuflop Madrid na kwenda Man U sioni kama anaweza akamzima huyu dogo.
All in all, kioengele ni Messi. Kumshika huyu jamaa ni kufanya viungo wako wote wawe attention kwake, na hapo ni kama unabet tu sababu wanaweza wakamuweka chini ya uangalizi na bado wasimuweze.
Kwa sehemu kasi amepungua na hii ni kutokana na umri. Messi alikuwa na uwezo wa kuchukua watu kadhaa na kwenda kuweka mpira wavuni ila kwa sasa hawezi akipindua watu ila kasi ya kukimbia haipo tena kwa sehemu kubwa.Huyo jamaa hakabiki.
Ukikaza fuvu kujifanya unataka battle ya kukaka utakula yellow au umeme na wao watapewa penalty
Wanacheze nae kwa akili wasilte ujuaji
Yule jamaa umri umeenda lakini Yuko vile vile kama zamani so usimchukulie poa yule kazaliwa kwa ajili ya mpira.
Mechi za fainali kadi za njano huwa zinafutwa labda kama utaratibu umebadilika siku hizi.Namwona Lisandro Martinez akicheza kama kiungo mkabaji sambamba na viungo wengine kama depaul, Mac alister na Enzo. Ila kwa game la ufarans kiungo kama Paredes ni muhimu sana why?? Paredes ni mkabaji pia anauwezo wa kupanikisha mpinzani ana ukabaji flan hv wa kukera ambao kupata kadi ni ngumu. Coach ampange Martinez kama kiungo mkabaji badala ya Paredes dogo anakaba vzr kama Otamendi hatacheza coz ya kadi bhs akae beki ila wasiruhusu cross maana Giroud atawaua
Uchawa umekujaa. Wameangalia Utaifa wao na asili yao. Wala siyo ubaguzi .Hawa wajifunze kuepuka ubaguzi ili miaka ijayo wafike mbali zaidi.