Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
- Thread starter
- #41
Acha upuuzi, sio kila anayeshabikia morocco ni mwarabu au muislamu. Tuache itikadi binafsi kwenye michezo.Uchawa umekujaa. Wameangalia Utaifa wao na asili yao. Wala siyo ubaguzi .
Tupunguze hisia za Uchawa.
Umewahi kuwaza madhara ya timu kama ya Brazil kusema ushindi wao ni kwa ajili ya wakatoliki?
Kwani mashabiki tunafuata itikadi za dini michezoni?