Shughuli imemalizika pale Qatar, Argentina ya Lionel Messi inaenda kubeba Ubingwa wa Dunia 2022

Shughuli imemalizika pale Qatar, Argentina ya Lionel Messi inaenda kubeba Ubingwa wa Dunia 2022

Mkuu usiongee sana, kuna watu walisema Uingereza au Brazil anachukua Kombe Ila wapo nyumbani sasa wanaendelea na Ujenzi wa mataifa yao. Hili kombe halina mwenyewe safari hii!
Lete maneno.
 
Mbappe heko sana.

Don't worry wachezaji wako wamekuangusha kwenye penalty
 

Attachments

  • Screenshot_20221218-210958_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20221218-210958_WhatsApp.jpg
    118.1 KB · Views: 3
Dembele nini????,umesema?.....eti?.......
Nimeanza kumfahamu dembele kitambo sana mpaka sasa ambapo yupo Barca. Nenda jukwaa la Barca utankuta toka 2011, sijui kama tayari ulikuwa JF.

Game za Dembele nazifahamu, Griezmann toka yupo sociedad namfahamu mpaka anaenda atletico then Barca, anarudi tena Atletico. Nilisema awali, kipengele pekee ambacho Argentina anacho ni Mbappe tu.

All in all, hakuna mchezaji bora toka soka lianze kama Lionel Messi.
 
Style ya Morocco haina utofauti mkubwa na Argentina. Wote wanaruhusu uwafikie langoni mwao kisha wakupoke mpira na wafanye counter attack.

Jana Ufaransa alikuwa anapigwa hata goli 5 au 6, hii ilitokana na ubutu wa umaliziaji ndani ya box kwa Morocco. Kwa namna hii, kwa defence hii ya France, kwa mids zile za Ufaransa. Sijui nisemeje.

Messi ashuke chini kusaidia viungo wa Argentina. Wale madogo wawe wanapanda juu punde Messi anapokuwa na mpira, sioni kama Ufaransa itapona. Argentina akiwa karibu na box au akiwa ndani ya Box ni hatari saaaana.

Karata pekee ambayo France anayo ni kumtengenezea mazingira mazuri Mbape. Dembele ana kasi ila hana madhara makubwa, Griezmann ni wa kawaida kwa soka la sasa, hawa wanaweza wakakabika ila Mbape ni kipengele.

Binafsi karata yangu naitupa kwa Argentina japo lolote laweza kutokea.
Ulitabili vizuri/
 
Back
Top Bottom