Shughuli imemalizika pale Qatar, Argentina ya Lionel Messi inaenda kubeba Ubingwa wa Dunia 2022

Mkuu usiongee sana, kuna watu walisema Uingereza au Brazil anachukua Kombe Ila wapo nyumbani sasa wanaendelea na Ujenzi wa mataifa yao. Hili kombe halina mwenyewe safari hii!
Lete maneno.
 
Itoshe kusema kuna wanaojitahid kucheza mpira na messi anejua mpira
 
Dembele nini????,umesema?.....eti?.......
Nimeanza kumfahamu dembele kitambo sana mpaka sasa ambapo yupo Barca. Nenda jukwaa la Barca utankuta toka 2011, sijui kama tayari ulikuwa JF.

Game za Dembele nazifahamu, Griezmann toka yupo sociedad namfahamu mpaka anaenda atletico then Barca, anarudi tena Atletico. Nilisema awali, kipengele pekee ambacho Argentina anacho ni Mbappe tu.

All in all, hakuna mchezaji bora toka soka lianze kama Lionel Messi.
 
Ulitabili vizuri/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…