Wewe unahitaji msaada wa kisaikolojia.Mtanisamehe wakuu, nilichogundua messi anakubalika zaidi kwa wanawake [emoji126][emoji126][emoji126] na watu wafupi [emoji144][emoji144][emoji144]
[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2451255View attachment 2451256View attachment 2451257View attachment 2451258View attachment 2451259
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
ASANTE MESSIUsisahau kuwa juzi wafaransa walikuwa wanaomba apite Croatia
Hii fainali haitabiriki ila nitafurahi zaidi iwapo Messi atastaafu na kombe la dunia ili siku moja nitakapokuwa nimekaa na wajukuu zangu nikiwasimulia juu ya hiki kiumbe maswali kutoka kwao nitayajibu kwa ufasaha zaidi iwapo akibeba hili kombe
Usije tu ukakimbia uzi...
Wafaransa wagumu Sana, hakuna mwenye uhakika Nani atakuwa bingwa...wao Argentina walikuwa wanaomba Morocco ashinde jana
kutabili matokeo ni ngumu sana timu zote mbili ziko vizuri.
Usisahau kuwa juzi wafaransa walikuwa wanaomba apite Croatia
Hii fainali haitabiriki ila nitafurahi zaidi iwapo Messi atastaafu na kombe la dunia ili siku moja nitakapokuwa nimekaa na wajukuu zangu nikiwasimulia juu ya hiki kiumbe maswali kutoka kwao nitayajibu kwa ufasaha zaidi iwapo akibeba hili kombe
Mkuu usiongee sana, kuna watu walisema Uingereza au Brazil anachukua Kombe Ila wapo nyumbani sasa wanaendelea na Ujenzi wa mataifa yao. Hili kombe halina mwenyewe safari hii!
Wewe ndio umeukimbia uzi kamanda
France inapokuwa na mpira, inaweza ikamtazama dembele, griezmann n.k ili timu iende kushambulia au itengeneze goli.
Kwa Argentina haipo hivyo, timu haiwezi kufanya shambulizi endapo Messi hayupo kwenye zone ya kutengeneza goli.
Usifikiri ni wajinga kumtegemea sana jamaa ila wanajua kabisa ukiwa na Messi, ni sawa kuwa na viungo kama akina Modric 3 na mshambuliaji mmoja kama Aguero.
Messi ni hatari saaana.
Mkuu kwenye ule Uzi wa World Cup kuna wacha MBUZI kama Scars na wenzake hebu kawape shule kidogoNimeanza kumfahamu dembele kitambo sana mpaka sasa ambapo yupo Barca. Nenda jukwaa la Barca utankuta toka 2011, sijui kama tayari ulikuwa JF.
Game za Dembele nazifahamu, Griezmann toka yupo sociedad namfahamu mpaka anaenda atletico then Barca, anarudi tena Atletico. Nilisema awali, kipengele pekee ambacho Argentina anacho ni Mbappe tu.
All in all, hakuna mchezaji bora toka soka lianze kama Lionel Messi.
Zile kosakosa za Morocco jana angekuwepo Alvarez na Messi walikuwa hawakuachi pale.
Niko pamoja na Africans United in Europe "Les Bleus" na hakika tutawafanya hamna hao Argentina